..Kwelii Eeh! Majivuno ni wakibosho au ni tabia ya mtu binafsi??...Too low!!Huyu si usalama wa Taifa huyu ni mwandishi kama alivyo wengine. Mimi mwanangu alisoma nae na anamjua tokea anatangaza TBC mpaka ITV na sasa TBC1. ni mtoto mkarimu anayependa majivuno si unawajua wa Kibosho hao..
..Kwelii Eeh! Majivuno ni wakibosho au ni tabia ya mtu binafsi??...Too low!!
Hii ishu inaonekana ni ya kuwapatia umaarufu tu baadhi ya watu, haina maslahi.
tena!!!!!!!!!!
halafu hii kitu nimeisoma kwenye thread fulani ya huyo huyo muro, kwanini acfanye kuulizia juu kwa juu...boring.
This Muro thing is too boring sasa..Kila ukiamka Muro Muro,kwa nini tusiweke posts zetu kwenye Sredi zilizopo zinazomhuzu Jerry Muro badala ya kila wakati kuibuka na Sredi mpya inayomhusu Muro???..Inakera bana
aisee, wakati mwngne humu vitu vinaenda shoti shoti balaa...yukkkhhh
JERRY Muro siyo afisa wa usalama wa taifa.Nimedokezwa kuwa kuna mtu katika familia ya akina Muro ni mtu mzito katika usalama wa taifa,niny subirini muone.
Mkuu,This Muro thing is too boring sasa..Kila ukiamka Muro Muro,kwa nini tusiweke posts zetu kwenye Sredi zilizopo zinazomhuzu Jerry Muro badala ya kila wakati kuibuka na Sredi mpya inayomhusu Muro???..Inakera bana
Mkuu,
tumia akili yako wakati mwingine! Unadhani hii kitu ya ushushushu ikiwekwa kama comment katika thread ambayo teyari ina kurasa nyingi (let say 5) kisha ikawa ni comment katika page ya 3 hivi utaiona kweli? Utaisoma kweli? Ni watu wangapi humu huwa wanapitia comment/replies zote kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho? Kama umeboreka na issue ya Muro basi achana nazo! Mbona kuna thread nyingi tu humu jamvini za kutembelea? Kama vipi basi ngoja niwaombe mods waitie kapuni hii thread. Naomba unisamehe mkuu...sikukusudia kukukwaza!