Mkuu,
tumia akili yako wakati mwingine! Unadhani hii kitu ya ushushushu ikiwekwa kama comment katika thread ambayo teyari ina kurasa nyingi (let say 5) kisha ikawa ni comment katika page ya 3 hivi utaiona kweli? Utaisoma kweli? Ni watu wangapi humu huwa wanapitia comment/replies zote kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho? Kama umeboreka na issue ya Muro basi achana nazo! Mbona kuna thread nyingi tu humu jamvini za kutembelea? Kama vipi basi ngoja niwaombe mods waitie kapuni hii thread. Naomba unisamehe mkuu...sikukusudia kukukwaza!
Sijasusa ila kama hii thread inawaudhi watu fulani fulani (wapambe wa Jerry Muro) basi na itiwe kapuni!Sasa ndo umesusa,wenzio twala.
Kwema kabisa,wewe leo vipi? kwema kaka.
Sijasusa ila kama hii thread inawaudhi watu fulani fulani (wapambe wa Jerry Muro) basi na itiwe kapuni!
Mkuu,
tumia akili yako wakati mwingine! Unadhani hii kitu ya ushushushu ikiwekwa kama comment katika thread ambayo teyari ina kurasa nyingi (let say 5) kisha ikawa ni comment katika page ya 3 hivi utaiona kweli? Utaisoma kweli? Ni watu wangapi humu huwa wanapitia comment/replies zote kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho? Kama umeboreka na issue ya Muro basi achana nazo! Mbona kuna thread nyingi tu humu jamvini za kutembelea? Kama vipi basi ngoja niwaombe mods waitie kapuni hii thread. NAomba unisamehe mkuu...sikutegemea kukukwaza!
Wakuu,
mie nashangazwa sana na hii kitu USALAMA WA TAIFA,kwani hii nini mpaka kila kitu kiwe kinaonekana hatari au cha kujivunia?
kama yeye ndio afisa au ndugu yake basi ngoja tujue alifanya kosa au la alafu tutajua hii USALAMA WA TAIFA INAINGIAJE HAPA
sawa!sidhani kama ni upambe!!! just recall tume appreciate ngapi za Muro ulizoweka hapa but these Muroz frankly are becoming too much and too much of anything is harmful dear Pape!!!!!!!
hivi unazungumzia thread za Pape tuuuuu? au na za wengine?Dah!!,Haya bana(sijui natumia nini sasa kama situmii akili),hakuna aliyekuzuia kuweka comments zako bali nimeshauri tu kwamba kama vp si bora kuziunganisha habari zote tu zinazohusiana na Muro badala ya kila uchao watu kuja na Sredi zinazmhusu Muro(kwangu mimi hii ndo itawapa watu nafasi ya kusoma michango yote sehemu moja badala ya kuwawekea maSredi meeeeengi kiasi cha kuwachanganya wasome Sredi ipi na waiache ipi)..Pamoja mkuu
sawa!
hivi unazungumzia thread za Pape tuuuuu? au na za wengine?
haya, kwahiyo wewe unasemaje? nini kifanyike?hapa issue sio Pape ni Muro my dear!!!!!!!!!!!!! who posts the thread about Muro is irrelevant. tunadhani ni busara badala ya kusambaza mawazo ya watu kwa kuweka nyuzi ambazo zingeunganishwa na kusaidi awatu kutoa michango useful na kuwa focused zaid kuliko hili linaloendelea sasa!!!!!!
subiri kuna mtu atakuja na ingine akiuliza kabila la Muro........
hadithi za mtaani hizo nenda katika maduka ya silaha utakuta wanauza na pinguJana nilipokuwa nakatiza mitaa fulani nilisikia watu wakiongelea suala la Jerry. Wengine walisema huyu jamaa anawezekana kuwa ni shushushu (afisa usalama wa taifa). Sababu inayopelekea wao kusema hivyo ni ile kukutwa na pingu na bastola.
Walisema bastola inaweza milikiwa na mtu wa kawaida lakini pingu mmmh hapo kuna kitu! 'Jerry ni zaidi ya uandishi wa habari!' Pia ujasiri alionao katika upambanaji kiasi cha kusema "Kova is a very minor person"...hizo nguvu anazitoa wapi? Mwandishi tu wa kawaida anaweza kuwa na jeuri kama hiyo?
Jamaa hao waliendelea kusema kwamba sababu nyingine ni pale Kova aliposema kwamba hii kesi haitopelekwa mahakamani mpaka ipitishwe kwanza kwa mwanasheria mkuu wa serikali ili aone kama kuna ulazima wa kuipeleka hii kitu mahakamani!
***Nimeleta kwenu jamvini...where we dare to talk openly....Mnasemaje?
Hebu ngoja tupumzike kidogo na hii issue raia wema
Hamna issue nyingine!? Muro Muro!!
hii issue ya Jerry Muro kwamba ni shushushu haina maana tena! imeunganishwa huku na haionekani tena! Ukifungua hii thread inasema ni nani Jerry Muro? na maelezo ya juu pale mwanzoni mwa thread hayaelezei hali ya ushushushu! Naona hata jf inamtetea Jerry! Sawa, mambo kama haya bongo walahi hayataisha! bongo kweli tambarare...haya twendeni kibongobongo!hahaaaaaaa u are tired huh!!! njoo kule kwenyemabo ya rilijeni basi na wewe???!!!
hii issue ya Jerry Muro kwamba ni shushushu haina maana tena! imeunganishwa huku na haionekani tena! Ukifungua hii thread inasema ni nani Jerry Muro? na maelezo ya juu pale mwanzoni mwa thread hayaelezei hali ya ushushushu! Naona hata jf inamtetea Jerry! Sawa, mambo kama haya bongo walahi hayataisha! bongo kweli tambarare...haya twendeni kibongobongo!
Don't give people trust until they give you a reason to trust thempape am sorry!!! am not siding any one here!!! hata proffession yangu hainiruhusu kufanya hivyo.
i was simply giving my opinion on the issue of having so many threads about JM, unnecessarily!!!!!
sorry once again kama nimekukwaza ila hiyo hainizui kueleza mawazo yangu!!!!