Ni nani Mmiliki Wa Blog Hii Millardayo.com?

Mkuu mbona jina la blog ndilo la mhusika mwenyewe?
 
Kinachonishangaza ni Millard Ayo huyohuyo anayechukuaga vipande vya habari kutoka ITV nakuviweka kwenye blog yake....
Kwahili alilofanya Millard nawashauri ITV wampige marufuku kurusha vipande vya habari zao kwenye blog yake
Nimekupata vizuri Mkuu.
 
Tusiwalaumu wasanii kuwa na bifu kama media zenyewe zinakuwa na bifu. Yawezekana na wao wanachangia katika kutengeneza bifu za wasanii.
 
Soma bongo5.com inatosha
Hapo kuna jamaa anaitwa sky walker au Frederick bundala yuko bias na kazi zake bora hawe waandishi wengine, jamaa nilikuwa namkubali sana lakini Sikh zinabyozidi kwenda anazidi kudrop sana, ndio tunaenda kulekule kwa waandishi wetu hawana weredi ya kazi
 
Kina watangazaji wengine,huwa walikuwa wanatoa support kwa watangazaji wengine MF DJ fetty na blog yake alikuwa anawasupport kina Kennedy the remedy wakati yuko Ea radio, au account ya instagram ya sammisago alikuwa anatangaza coke studio anaandika cheki kwa clouds TV, nafikiri ni kujitambua tu kwa watangazaji ndio linakuwa tatizo ndio maana Castro Dickson aliandika "mabosi wetu wanaelewana sana lakini sisi watangazaji,madj hata salam ni ngumu kupeana kisa uko media tofauti
 
wazungu wanasema two wrongs doesn't make it right. ni hatari sana mwanahabari asipokuwa huru.
Unasahau kuwa kwake ni biashara inayohitaji mtu anayeisupport... Success comes after choosing sides... Fanya utafiti... Neutralism is just our human illusion... Wewe hapo tu utakataa but you really know where you stand, and i bet its not on the neutral side. We were created to choose a side. Trust me.
 
basi angejaribu kutengeneza hiyo illusion ya neutrality. siyo anachagua side waziwazi wakati wateja wanategemea awe neutral. watu wameisusa TBc na wanaisusa Star TV kwa mambo kama hayo.
 
basi angejaribu kutengeneza hiyo illusion ya neutrality. siyo anachagua side waziwazi wakati wateja wanategemea awe neutral. watu wameisusa TBc na wanaisusa Star TV kwa mambo kama hayo.
Okay... But let me tell you this. Illusion is what makes us weak.
 
Tatzo n nan? boss au wafanyakaz ila mbona Bdozen Adam mchomvu na Millard wanafanyiwa interview vzur kwny EATV kpnd cha mkasi
 
yupo sawa milladayo kutokupost ivyo vituzo coz hata vyenyewe ni vya ajabu muno...toka lini chuchu hans akawa muigizaj bora wa kike wa mwaka kwa kipi alichofanya???? hazitofautiani na zile za kili awards...ndo maana wenye bongo fleva yao WCB hawakuzitambua...
 
Millardaro.com umeshaona ina jina la mtu bado unauliza nani mmiliki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] watanzania wanahangaika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…