Ni nani waliompiga risasi mtangazaji Abdul Masoud wa RTD je walikamatwa?

Ni nani waliompiga risasi mtangazaji Abdul Masoud wa RTD je walikamatwa?

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau Nawasalimu ktk kusikiliza TBC Leo nimemkumbuka Mtangazaji Mashuhuri wa Kipindi cha Michezo kilichokuwa kinarushwa na RTD siku hizi TBC kila siku saa 1.45 jioni.

Mtangazaji Wa Kipindi hiki alikuwa Bw.Abdul Masoud na ambaye pia alikuwa Katibu Mwenezi wa Klabu ya YANGA. Mtangazaji huyu inasemekana ALIUAWA nyumbani kwake mbele ya Familia yake na Wauaji hawakuchukua kitu wala Fedha zozote lakini SIJAWAHI kusikia kama WAUAJI walikamatwa na Kuhukumiwa je ni Kweli WAUAJI HAWAKUWAHI KUKAMATWA?

Mwenye Taarifa atujuze ili MAMBO ya Historia yake vema kwa VIZAZI vyetu.
 
Hatuandiki, na tunasahau haraka

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Muhindi huyu alikuwa akijulikana na jina la Abbas Gulamali, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke
 
B
Hatuandiki, na tunasahau haraka

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Muhindi huyu alikuwa akijulikana na jina la Abbas Gulamali, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke
Buji buji kaka hizo sources zako za information umetisha!!!!Nilikua dogo pale singida kipindi hicho nilisikiaga story tu masista wanaadithiana home
 
Hatuandiki, na tunasahau haraka

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Muhindi huyu alikuwa akijulikana na jina la Abbas Gulamali, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke
Asante sana kwa hilo Dhulma ni mbaya sana je Wahusika wa hayo MAUAJI hawakupatikana?
 
Hatuandiki, na tunasahau haraka

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Muhindi huyu alikuwa akijulikana na jina la Abbas Gulamali, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke
Bujibuji na huyu mkwe wa mkwere kwenye mizengwe mkoje nimtu na mdogowake au inakuaje [emoji38]
 
Hatuandiki, na tunasahau haraka

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Muhindi huyu alikuwa akijulikana na jina la Abbas Gulamali, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke
Kama nakumbuka vizuri mmiliki wa Bobby Soap alikuwa ni Mohamed Viran siyo Gulamari
 
Hatuandiki, na tunasahau haraka

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Muhindi huyu alikuwa akijulikana na jina la Abbas Gulamali, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke
Buji unajua mambo mengi sana.
 
Wadau Nawasalimu ktk kusikiliza TBC Leo nimemkumbuka Mtangazaji Mashuhuri wa Kipindi cha Michezo kilichokuwa kinarushwa na RTD siku hizi TBC kila siku saa 1.45 jioni.

Mtangazaji Wa Kipindi hiki alikuwa Bw.Abdul Masoud na ambaye pia alikuwa Katibu Mwenezi wa Klabu ya YANGA. Mtangazaji huyu inasemekana ALIUAWA nyumbani kwake mbele ya Familia yake na Wauaji hawakuchukua kitu wala Fedha zozote lakini SIJAWAHI kusikia kama WAUAJI walikamatwa na Kuhukumiwa je ni Kweli WAUAJI HAWAKUWAHI KUKAMATWA?

Mwenye Taarifa atujuze ili MAMBO ya Historia yake vema kwa VIZAZI vyetu.
Short & clear
 
Wajuzi mtujuze, sema bongo tumelala sana kuna visa vingi sana nchi hii tungekuwa na ma director na facilities za kuwezesha tungekuwa na movies kali sana
 
Kama nakumbuka vizuri mmiliki wa Bobby Soap alikuwa ni Mohamed Viran siyo Gulamari
Hujakosea mmilki wa Bobby Soap alikuwa ni Mohammed Virani na si Abbas Gulamali.Hata huko Yanga Gulamali alkuja baadae miaka ya mbele sio kipindi cha akina Virani.
 
Back
Top Bottom