Naona hukutaka ku-come back to reality baada ya hiyo ndoto...Dah!. Labda ndoto hii itatimia,
Niliota numemuoa mtoto wa Obama. It was so nice. Nilitamani nisingenyanyuka baada ya kujua ni ndoto.
Mimi nahisi bado nipo ndotoni hivi ni kweli raisi ni magufuli Tanzania ?? Mana ninayo yaota yanatisha kuusu uongozi wake eti mimeota kala lambilambi za watu wa kagera na anasema amewasamehe watu kwa kuchagua upinzani. I think I am dreaming
😀😀 hilo sio godoro tena bali ni mkeka. Kwahiyo sasahivi uko half time...
Kama wewe level hiyo ulishavuka ni ishara kuwa ubafanya mambo yaliyopitwa na wakati(kufanya mtihani).Mara nyingi huwa naota nafanya mtihani wa Kidato cha Sita (PCM).......na ktk ndoto hiyo nakuwa sijajiandaa kabisa....Mara tu naposituka usingizini kumbe ni ndoto.
Hali na ndoto hii vimekuwa vikinipata na kujirudia-rudia kwa miaka Mingi sasa na huwa sielewi kwanini itakuwa hivi....
Hayo ni matazizo ya kusoma ktk mazingira yenye kuleta msongo wa mawazo na hofu siku za nyuma yana sababishwa na walimu na familia piaMara nyingi huwa naota nafanya mtihani wa Kidato cha Sita (PCM).......na ktk ndoto hiyo nakuwa sijajiandaa kabisa....Mara tu naposituka usingizini kumbe ni ndoto.
Hali na ndoto hii vimekuwa vikinipata na kujirudia-rudia kwa miaka Mingi sasa na huwa sielewi kwanini itakuwa hivi....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani zile ndoto zangu za kuokota hela zingekubali sijui ningekuwa wapi leo
aisee kumbe tupo wengi...tena mara nyingine nafanya mitihanimara nipo maeneo ya shule ya msingi si mara mojaHuwa naota nipo darasani na marafiki zangu wa primary hii ndoto huwa inajirudia rudia sana sijui kwa nn
hahaha unaogopa ataliamsha dude mjengon eehNiliota nazini na mke wa Gwajima asee nilitetemeka usiku kucha maana jamaa ana hasira mbaya
Daaaa sijui ni kwannaisee kumbe tupo wengi...tena mara nyingine nafanya mitihanimara nipo maeneo ya shule ya msingi si mara moja