Hii tushawahi jadili.... ngoja nikupastie.... comment yangu alafu fuatilia Link hapo juu...
Mume/Mke ni ndugu sababu undugu si wa damu tu...
ndugu ni mtu ambae mnajaliana, pendana, saidiana, wasiliana,
na muhimu zaidi ni kua uko kwa ajili yako no matter what!
Mume/Mke ni rafiki sababu rafiki aweza kua ni ndugu au mtu baki...
Rafiki ni mtu ambae anakuelewa kwa upana jinsi ulivyo, wapi akuguse
kukuumiza, wapi aguse kukufurahisha, kitu gani unapenda/chukia,
jinsi gani aku handle ili msikwazane, ni mtu uta confide siri zako bila
kuogopa atatangaza, ni mtu ambae pamoja ya kwamba mnaweza mkawa
siio blood relatives but ni mtu wa muhimu mno katika maisha yako ya kila siku...
Huo undugu na urafiki kati yenu ndo hufanya muwe best couple au vice versa
tokana na jinsi mnavyo handle undugu au urafiki wenu....