M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,095
A'm a pastor
Hainihusu hii .........!!!!!!!
Kwan pastor haoi au hana haolew..
'deo najua nitakuwa mbali na wewe na wanaume hamuwezi vumilia,kama unaweza tafuta msichana mzuri kuliko mimi akuliwaze,ila usinsahau na nikirudi rudisha mapenzi kwangu,nakupenda sitokusaliti'hata hamu ya kuchepuka sina.i love u my mariamu!
baada ya kua kwny mahusiano kwa miaka mi4, aliniacha kwa sms t tu eti ''mi na ww basi'' ilikua ucku wa manane, nlikua macho so nliiona ile sms, ckumjibu kamwe..cha ajabu baada ya wiki akaanza kuntafuta, yan hapo ndo alinjua mi nan, hadi leo hana hamu na mm, kaoa lkn anansumbua..nlichomwambia muheshim mke wako kaka, mm co type yako tena
"Nitafute ukishazipata hela"hapo ni baada ya kunichuna mpaka nikabakiwa na suruali tu.mpaka leo sijamtafuta, ni miezi3 ishapita na nilivyokua najipa moyo kwamba nimepata mke mrembo, kuumbe she is a gold digger.
Nakumbuka niliambiwa cpendwi tena lol tht hurts
division 5"Will u merry me"
Alinambia ningekua mrefu kidogo angenifikiria!!! Roho iliniuma sana!!
Mimi nilivyomaliza kumgegeda akaniambia nimemchafua tu wakati mwanaume nimejipinda kisawasawa
Kuwa makini yaani hapo namba 2 mwenyewe ukajiona kidume haswa! Angalia kuna wanawake ni ma-pro kwenye haya mambo anaweza kuwa anakuibia mchana kweupe.1. nimemaliza tu kum do akaanza kulia nikahamaki nini tatizo, what have I done wrong? Akaniambia "i know you have got what you wanted, na utaniacha" Dah it touched me and I proved her wrong, yeye ndio akaja kucheat!
2. Huyu mwingine ilinibidi nicheke sana. Nilimpelekea moto akacum then nikawa naendelea hehehe 5 mins into the game ananipiga na kulia "darling naomba usimfanye hivi mtu mwingine pleeeease nyamgluu"
Hahahaha. Game ikasimama maana nilicheka sana kuona demu anawivu kiasi kile!