Ni ngumu kuwaelewa wanaume!!!

Wanawake ni rahisi sana kuwaelewa unachotakiwa kufanya ni kupretend unawasikiliza and always say yes maam!hapo kila kitu kitakuwa sawa. Wanaume tumelelewa katika hali ya kutoonyesha hisia zetu, ukilia unaambiwa "unalia kama mtoto wa kike", ukiumia hutakiwi kuonyesha maumivu yako kwa sauti au miguno unaambiwa vumilia kama mwanaume, sasa what do u expect us to be in the future???WE WERE TAUGHT BY THE COMMUNITY TO HIDE OUR EMOTIONS, DON'T BLAME US!!!!
 
habari wanajamii forum.ni kweli wanaume hatueleweki kabisaa?ila kwa ulimwengu wa sasa hakuna cha mwanaume wala mwanamke wote ni watata
 
Wanawake waliumbwa kuwa wanyenyekevu kwa wenzi wao, kuwaheshimu na kuwapenda kwa dhati. Hii ndiyo asili yao. Wanaume pia kwa upande mwingine waliumbwa kuwapenda na kuwalinda wake zao. Lakini hizi nyakati za sasa ambazo wanawake nao wanataka kuonyesha umwamba kwa kushindana na wanaume kwa kila kitu, imeharibu hata ukweli wa mahusiano yetu. Wanawake wanaonyesha upole ndio hasa wanaoweza kuwa na mahusiano mazuri tofauti na wale ambao kwa lugha nyingine tunaweza kusema wanaanzisha vita. Hivi sasa mwanaume akichepuka kidogo nje ya mahusiano, mwanamke naye analipiza badala ya kujaribu kusuluhisha tatizo na kumwonyesha mwenzie kuwa amekosa. Kiasili wanawake si watu wa kulipiza mambo, ni wanyenyekevu na wapole. Hivi sasa imekuwa ngumu kuelewana, si mwanaume wala mwanamke. Tena inawezekana mwanamke akawa mgumu zaidi kumwelewa kutokana na maigizo kuwa ni mpole na mwenye upendo na unyenyekevu, kumbe unageukwa vibaya.
Wanawake na Wanaume timizeni wajibu wenu. Nawapenda sana dada zangu, pale mnapotupa mapenzi ya kweli. Ila vice versa ni ukweli pia
 
habari wanajamii forum.ni kweli wanaume hatueleweki kabisaa?ila kwa ulimwengu wa sasa hakuna cha mwanaume wala mwanamke wote ni watata

Wewe kama huelewiki ni wewe, wengine wanaeleweka bana!
 
ueleweke!!!!! mbona mgumu kuelewa?:A S-coffee:





Hapo mkuu umeongea kilichokuwa akilini mwangu,maana hata mimi nashindwa kumuelewa huyu mama mtoa mada,labda tu nimuulize,we mama wewe unataka kuwaelewa watoto wa watu ili uwafanyeje?
 
Hapo mkuu umeongea kilichokuwa akilini mwangu,maana hata mimi nashindwa kumuelewa huyu mama mtoa mada,labda tu nimuulize,we mama wewe unataka kuwaelewa watoto wa watu ili uwafanyeje?
Kwani watoto wa watu hawatakiwi kueleweka??Kujibu swali..nataka kuwaelewa ili nijue jinsi yaku-deal na nyie!
Kuna tatiso hapo babaake?
 
 
We nawe.......jaribu kua mwelewa basi!!!Kwani umeona nikimwambia kila mtu humu nataka kumuelewa?:teeth:


Mi naona tatizo lipo tena kubwa tu,maana unataka kuwaelewa, utawaelewa vipi na tuko mabilioni,nachoweza kusema ni wewe ujitahidi kumuelewa yule uliyenaye kwa sasa, hao wengine hawakuhusu na nakuomba uachane nao maana waweza kujikuta katika matatizo mengine ukitafuta kuwaelewa hawa viumbe..[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…