Ni ngumu kuwafunga Yanga fainali kwa hali ilivyo

Ni ngumu kuwafunga Yanga fainali kwa hali ilivyo

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Nimeangalia mechi vs Geita Gold nikabaki natikisa kichwa tu...dah kwa kweli kazi ipo..ukweli ni kwamba mechi ya fainali hiyo trh 28 utopolo ndiye favourite kushinda hata makampuni ya betting yatampa yeye.

Wachezaji hawana fitness hadi nimemkumbuka yule Mtunisia , najua kila team kuna wapiga deal na hakuna kitu wanapenda kama timuatimua na ajiriajiri ili wapige ten pasenti, ila jueni tu mnaumiza mashabiki siyo poa kabisa

Mmeona uwanja ulivyokuwa mtupu? kesho mtaona jinsi utopolo watakavyojaza , washabiki wamekata tamaa sana sana tu, niko Mwanza mtaani huku wana simba hata hiyo mechi ya nusu fainali kirumba watakuwa wa kuhesabu

Hiyo nusu fainali labda miujiza itokee ila utopwinyo wanatuchapa
 
Ile mechi ya fainali usione kama itachezwa kama ilivyo chezwa leo na Geita
 
halafu hii team hadi leo hainaga first eleven nafikiri..dah na sakho sijui amekuwaje mungu wangu leo ilifika muda nikawa nacheka tu kwa huzuni
Sakho ni selfish hafai yule wacha tumlee lee ikifika muda wa mauzo auzwe tuchukue mashine za kazi ye akaendelee kupiga vibaskeli huko kwingine
 
Sakho ni selfish hafai yule wacha tumlee lee ikifika muda wa mauzo auzwe tuchukue mashine za kazi ye akaendelee kupiga vibaskeli huko kwingine
Mlimuanzishia uzi humu kumsifia yeye pamoja na mchezaji mwenye minyoo Peter Banda
 
Simba damu Mimi ,kiukweli hii mechi nitaangalizia kwangu maana napendelea kuangalia mpira sehemu za kelele yaan bandani .
Ila kwa mwendo wa hii timu yetu pendwa Simba inavyoenda tar 28 utopolo wanatupiga mapema sna ,sioni namna yoyote ya kuchomoka kwa Hawa jamaa.

Ni kweli kwenye ligi tumedraw nao home and away ,ila niamin Mimi utopolo wanaenda kulipa kisasi maana tuliwatungua pale kigoma na wao wanaenda kutulaza na viatu.

Kama wachezaji ndio hao akina Sacko ,mhilu,Banda,mwanuke ,bocco,Gadiel,nyoni[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi Sina imani na timu yangu ya msimu huu hata hii nafasi ya pili tunaenda kuipata sabab ya uzembe wa timu zingine.
 
Nimeangalia mechi vs geita gold nikabaki natikisa kichwa tu...dah kwa kweli kazi ipo..ukweli ni kwamba mechi ya fainali hiyo trh 28 utopolo ndiye favourite kushinda hata makampuni ya betting yatampa yeye...
Shangilieni team zenu za nyumbani huko Pamba mko busy na team za mikoa mingine ndio maana mpira unadumaa kila siku hamjifunzi tu huko EPL kila mtu sio anashangilia team ya nyumbani ya mitaa yao bado tumebaki na ushamba wa miaka ya 80 tu.
 
Ni nusu fainali mkuu
Nimeangalia mechi vs Geita Gold nikabaki natikisa kichwa tu...dah kwa kweli kazi ipo..ukweli ni kwamba mechi ya fainali hiyo trh 28 utopolo ndiye favourite kushinda hata makampuni ya betting yatampa yeye.

Wachezaji hawana fitness hadi nimemkumbuka yule Mtunisia , najua kila team kuna wapiga deal na hakuna kitu wanapenda kama timuatimua na ajiriajiri ili wapige ten pasenti, ila jueni tu mnaumiza mashabiki siyo poa kabisa

Mmeona uwanja ulivyokuwa mtupu? kesho mtaona jinsi utopolo watakavyojaza , washabiki wamekata tamaa sana sana tu, niko Mwanza mtaani huku wana simba hata hiyo mechi ya nusu fainali kirumba watakuwa wa kuhesabu

Hiyo nusu fainali labda miujiza itokee ila utopwinyo wanatuchapa
 
Back
Top Bottom