Ikifika mahali kila mwananchi anaona kabisa kuwa nchi "inaliwa" na wenye madaraka, ile sense ya uzalendo kwa anayejitambua lazima ife! ndipo tulipofika kwetu hapa!
Mtu atajifanya, atahubiri uzalendo kwa vile anaogpa rioting kutoka kwa walalahoi wasije wakawa class conscious wakawadhuru 'wakubwa'. Hiyo ndiyo theory ya political economy of socialism and capitalism!
Mtu atajifanya, atahubiri uzalendo kwa vile anaogpa rioting kutoka kwa walalahoi wasije wakawa class conscious wakawadhuru 'wakubwa'. Hiyo ndiyo theory ya political economy of socialism and capitalism!