Ni nimesikia au nimenusa

Lucky One

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
663
Reaction score
431
Habari zenu wanajf leo ninataka kueleshwa vizuri,unajua ndani ya jamii inapotokea harufu mbaya utashuhudia watu wakisema "aah! nimesikia harufu mbaya" lakini kiuhalisia kabisa mtu hawezi kutumia sikio kutambua harufu mbaya bali hio ni kazi ya pua

sasa je vipi ni sahihi kusema " nimesikia harufu" au "nimenusa harufu"
 
Huwezi sikia harufu,bali una nusa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…