Ni nini chanzo na chimbuko la Upinzani nchini kutokubalika na kuaminika kwa wananchi wapiga kura wa Tanzania?

Ni nini chanzo na chimbuko la Upinzani nchini kutokubalika na kuaminika kwa wananchi wapiga kura wa Tanzania?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni kwasababu hawana mipango na sera zinazogusa mahitaji muhimu ya kila siku ya wanainchi?

Ni kwasababu ya ubinafsi, uchu na tamaa za vyeo na madaraka walionao, kiasi kwamba hawana muda wala haja ya kupambania changamoto za wananchi bali, wana nguvu sana kupambania masuala yanayohusu pesa kwaajili ya matumizi yao na familia zao, na nafasi za uongozi kwa maslahi yao binafsi?

Ni kwasababu ya kutokua na umoja na kutoaminiana kwao, wao wenyewe kama upinzani, pamoja na kua na chuki binafsi na uhasama wa kihistoria miongoni mwao?

Ni kwasababu ya historia ya usaliti miongoni mwao kitu ambacho kimetia doa uaminifu wao kwa wananchi?

Maana ni wazi kwamba ni vigumu mno kuunadi upinzani nchini Tanzania ukaeleweka kwa wanainchi, kwasababu hauminiki na wala haukubaliki kabisa kwa wanainchi. Wengi wao wanaonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa huko field.

Unadhani ni kwanini wananchi wa Tanzania, hawautaki, hawapendi, hawaumini wala hawafuatilii upinzani nchini nchini Tanazania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ni kwasababu hawana mipango na sera zinazogusa mahitaji muhimu ya kila siku ya wanainchi?

Ni kwasababu ya ubinafsi, uchu na tamaa za vyeo na madaraka walionao, kiasi kwamba hawana muda wala haja ya kupambania changamoto za wananchi bali, wana nguvu sana kupambania masuala yanayohusu pesa kwaajili ya matumizi yao na familia zao, na nafasi za uongozi kwa maslahi yao binafsi?

Ni kwasababu ya kutokua na umoja na kutoaminiana kwao, wao wenyewe kama upinzani, pamoja na kua na chuki binafsi na uhasama wa kihistoria miongoni mwao?

Ni kwasababu ya historia ya usaliti miongoni mwao kitu ambacho kimetia doa uaminifu wao kwa wananchi?

Maana ni wazi kwamba ni vigumu mno kuunadi upinzani nchini Tanzania ukaeleweka kwa wanainchi, kwasababu hauminiki na wala haukubaliki kabisa kwa wanainchi. Wengi wao wanaonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa huko field.

Unadhani ni kwanini wananchi wa Tanzania, hawautaki, hawapendi, hawaumini wala hawafuatilii upinzani nchini nchini Tanazania?[emoji205]

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe unalipwa pesa za bure hoja zako uongo ni mwingi haxina mantiki kabisa.
 
Wewe unalipwa pesa za bure hoja zako uongo ni mwingi haxina mantiki kabisa.
Kwahiyo gentleman,
ushuhuda wa Prof.Ibrahimu Haruna Lipumba chairman wa CUF kwamba muungano na maridhiano baina ya upinzani nchini umeleta athari na madhara makubwa sana kwa familia ya upinzani, na akataja hata vibaka na matapeli wa kisasa miongoni mwa upinzani kwa, majina kwamba ushuhuda huo ni uongo?

acha mihemko gentleman 🐒
 
Kama upinzani haukubaliki kwanini hamuweki uchaguzi huru na wagonjwa mfano kwenda haki?
nataka kufahamu jambo rahisi tu my lady,
kwanini upinzani nchini Tanzania hauminiki na wala haukubaliki kabisa kwa wanainchi?

hakuna haja ya kubabaika 🐒
 
Ni kwasababu hawana mipango na sera zinazogusa mahitaji muhimu ya kila siku ya wanainchi?

Ni kwasababu ya ubinafsi, uchu na tamaa za vyeo na madaraka walionao, kiasi kwamba hawana muda wala haja ya kupambania changamoto za wananchi bali, wana nguvu sana kupambania masuala yanayohusu pesa kwaajili ya matumizi yao na familia zao, na nafasi za uongozi kwa maslahi yao binafsi?

Ni kwasababu ya kutokua na umoja na kutoaminiana kwao, wao wenyewe kama upinzani, pamoja na kua na chuki binafsi na uhasama wa kihistoria miongoni mwao?

Ni kwasababu ya historia ya usaliti miongoni mwao kitu ambacho kimetia doa uaminifu wao kwa wananchi?

Maana ni wazi kwamba ni vigumu mno kuunadi upinzani nchini Tanzania ukaeleweka kwa wanainchi, kwasababu hauminiki na wala haukubaliki kabisa kwa wanainchi. Wengi wao wanaonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa huko field.

Unadhani ni kwanini wananchi wa Tanzania, hawautaki, hawapendi, hawaumini wala hawafuatilii upinzani nchini nchini Tanazania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kama hawakubaliki kwa nini sasa mnaogopa tume huru ya uchaguzi?
Tunaoufahamu na tuliowahi kuhusika na zoezi la uchaguzi tunajua namna mfumo wa uchaguzi ulivyo haramu.
Bila tume huru ya uchaguzi hakuna chaguzi.
 
Ni kwasababu hawana mipango na sera zinazogusa mahitaji muhimu ya kila siku ya wanainchi?

Ni kwasababu ya ubinafsi, uchu na tamaa za vyeo na madaraka walionao, kiasi kwamba hawana muda wala haja ya kupambania changamoto za wananchi bali, wana nguvu sana kupambania masuala yanayohusu pesa kwaajili ya matumizi yao na familia zao, na nafasi za uongozi kwa maslahi yao binafsi?

Ni kwasababu ya kutokua na umoja na kutoaminiana kwao, wao wenyewe kama upinzani, pamoja na kua na chuki binafsi na uhasama wa kihistoria miongoni mwao?

Ni kwasababu ya historia ya usaliti miongoni mwao kitu ambacho kimetia doa uaminifu wao kwa wananchi?

Maana ni wazi kwamba ni vigumu mno kuunadi upinzani nchini Tanzania ukaeleweka kwa wanainchi, kwasababu hauminiki na wala haukubaliki kabisa kwa wanainchi. Wengi wao wanaonekana kama vibaka na matapeli wa kisiasa huko field.

Unadhani ni kwanini wananchi wa Tanzania, hawautaki, hawapendi, hawaumini wala hawafuatilii upinzani nchini nchini Tanazania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ni kweli
Leo Chadema wamekusanya 64 Millioni .Lissu anakwenda Uganda kufanya kampeni ya no reform no election.
Uganda kuna Raisi wa milele.
ni kuharibu fedha.
Suali kipi amabacho viongozi wa chadema wamefanya kwa wananchi tangu walio kuwa siwabunge na kuwa wabunge nakuwa nje ya bunge.. Yaani michango yawo kwa jamii.

Hakuna . sasa hawo watu wana aminika vipi katika kuleta maendeleo.
 
Kama hawakubaliki kwa nini sasa mnaogopa tume huru ya uchaguzi?
Tunaoufahamu na tuliowahi kuhusika na zoezi la uchaguzi tunajua namna mfumo wa uchaguzi ulivyo haramu.
Bila tume huru ya uchaguzi hakuna chaguzi.
gentleman,
tume huru ya uchaguzi Tanzania iko kwa mujibu wa katiba na inafanya kazi zake kwa mujibu wa sheria na katiba. Hapatotoke tume ya uchaguzi kadiri ya apendavyo mtu, tume itateuliwa kwa mujibu wa katiba.

Chaguzi za Tanzania zitaendelea kusimamiwa na tume huru ya uchaguzi bila makelele au mdomo wa tapeli au kibaka yoyote wa kisiasa nchini.

chukua hiyo point na ukamfahamishe na mwenyekiti wa chama chako :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom