Ni nini chanzo na tiba ya tatizo hili......

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
613
Reaction score
313
Habari wana JF kuna rafiki yangu kaowa wiki mbili zilizopita ila tatizo linalomsumbua na kumkwaza ni kua mke wake anapata maumivu makali sana wakati wa tendo na kibaya zaidi ni kua hafurahii tendo kabisa kwani wanapojamiiana mke wake hulalamika sana kua anakua na muashi wa ajabu.

Kama ikitokea kutokumzuiya au kumfungulia feni akaelekeza ktk ile sehemu anaweza kujikuna hadi ukamuonea imani au ukazani kua itabanduka

Suali ni kua
1 Tatizo hili linasababishwa na nn?
2 Tiba yake ni nn?

Najisikia huruma sana kwao wanataka raha na furaha na kujenga ndoa yao ila kwao ni maumivu matupu
 

Naona kama rafiki yako anamzalilisha mkewe kwa kukusimulia mpaka hayo kwenye red.
Anyway, tusubiri wadau waje washauri tiba sahihi.
 
Naona kama rafiki yako anamzalilisha mkewe kwa kukusimulia mpaka hayo kwenye red.
Anyway, tusubiri wadau waje washauri tiba sahihi.


tatzo la wanajf ndo hilo wakat mwingine wataalamu wanashindwa kuelezea/ushaur 7bu 2naamin wewe utakwendaje kumweleza so far
funguka watu matatzo ya kwenu mnasingizia jamaa yako hata kama kaoa juzi leo anatoa siri za ndani kweli?
Hata angekuwa na miaka 2 ndan ya ndoa akaja kukwambia haya huyo sio mwanaume wa kweli huyo hajui maisha ya watu wa2 kabisa
nyway asubir wataalamu!!
 
Hii imekuwa common sana kwa wanawake wenye STI hasa Gonorrhea. Wengi waliokuja clinic wakiwa na uhusiano na mwanaume ambaye anaumwa gonorrhea wamekuwa wakilalamika sana maumivu wakati wa tendo la ndoa, marachache sana wamekuwa wakilalamika kutoka uchfu sehemu za siri. Sasa hili aende kwa Dr apewe dawa na hali hii itaisha ila wasisahau kupima ngoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…