Ni nini dalili za uchumi unaokuwa?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Sielewi Prof. Ndulu na wengine wanaposema uchumi wetu unakuwa. Uchumi wetu unakuwa kivipi ilihali naona watu vijijini bado wako gizani, maji hawana, shule hazina vitabu, na bei ya bidhaa zinapanda? Naomba kama kuna mtu wa uchumi humi ndani atujulishe nini maana ya uchumi wetu kupanda wakati mifukoni kwetu hakuna pesa?

Nini dalili za uchumi kukua kwa mtu wa kawaida kabisa kama mimi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…