Ni Nini Faida ya Nchi Kutangazwa Kimataifa?

Ni Nini Faida ya Nchi Kutangazwa Kimataifa?

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Habari Yenu wakuu

Kuuliza sio ujinga licha yakuwa maswali yakijinga pia yapo.

Sitaki kuwa mjuaji katika hili nataka kuwa "open minded" .

Tunaposema kuwa nchi kutangazwa kimataifa, faida zake uwa ni zipi.

Tumekuwa na watu/taasis mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti ambao wamekua wakilitangaza taifa letu kimataifa, Ila mpaka leo sijuagi faida yake.

Kwako mdau unajua nini kuhusiana na hili.

Tuchukulie hawa watu kwa mfano wanaleta faida gani katika kuitangaza nchi uko mbali

1. SAMATA
2.DIAMOND
3. MWAKINYO
4..ATHLETICS( WANALIAZA)
N.k

Uandishi tuvumiliane tu, amna namna.
 
Kuitangaza nchi kwa mazuri kunapanua wigo la utalii na kuvutia wawekezaji.
 
Habari Yenu wakuu

Kuuliza sio ujinga licha yakuwa maswali yakijinga pia yapo.

Sitaki kuwa mjuaji katika hili nataka kuwa "open minded" .

Tunaposema kuwa nchi kutangazwa kimataifa, faida zake uwa ni zipi.

Tumekuwa na watu/taasis mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti ambao wamekua wakilitangaza taifa letu kimataifa, Ila mpaka leo sijuagi faida yake.

Kwako mdau unajua nini kuhusiana na hili.

Uandishi tuvumiliane tu, amna namna.
faida yake ni kuwa asilimia 40 ya Budget inatolewa na hao wahisani na kubwa kuliko zote unapata chanjo Bure kabisaaa...
 
Habari Yenu wakuu

Kuuliza sio ujinga licha yakuwa maswali yakijinga pia yapo.

Sitaki kuwa mjuaji katika hili nataka kuwa "open minded" .

Tunaposema kuwa nchi kutangazwa kimataifa, faida zake uwa ni zipi.

Tumekuwa na watu/taasis mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti ambao wamekua wakilitangaza taifa letu kimataifa, Ila mpaka leo sijuagi faida yake.

Kwako mdau unajua nini kuhusiana na hili.

Uandishi tuvumiliane tu, amna namna.

Kwa nchi za Africa, wazungu wanatuelewa vibaya!! Wengi wanajua Africa ni bara la njaa, vita na magonjwa lakini pia hawaamini kama kuna maendeleo Africa!!

Ni jukumu la nchi kama Tanzania kujitangaza kimataifa kuonyesha dunia kwamba hayo yanayodhaniwa Africa hapa hayapo ili, wawekezaji waone fursa, watalii wamiminike, watafiti na wasomi pia ni watu muhimu kutembelea nchi! Mfano, kitokujitangaza waKenya wakachukua fursa ya kutangaza mlima Kilimnjaro upo kwao, watalii wanashukia Kenya then wanaletwa Kilimanjaro!!

Pia tunapojitangaza tunatangaza bidhaa zetu kama kahawa, pamba, korosho na vyovyote vile tunavyozalisha ili viweze kupata masoko ya uhakika na bei nzuri ili wakulima wanufaike na wanaponufaika wao nchi inapata maendeleo!!

Kutangaza kimataifa kunaifanya nchi inaaminika, passport inakuwa na nguvu angalau!! Huwezi kuwa na nguvu wakati hata jirani yako hakujui!

Fursa za masomo, mataifa yanajumuika na taifa wanalolijua na kutoa fursa ya scholarships badala ya raia wote kung'ang'ania bodi ya mikopo.

Misaada, bado tunategemea misaada!! Kuitangaza nchi kwa mema ndipo wafadhili wanajitokeza kutia jitihada za kuchangia bakuli kwa kutoa misaada ya fedha, madawa na miradi mbalimbali!!

Yapo mengi, hayo ni baadhi tu mkuu!!
 
Kwa nchi za Africa, wazungu wanatuelewa vibaya!! Wengi wanajua Africa ni bara la njaa, vita na magonjwa lakini pia hawaamini kama kuna maendeleo Africa!!

Ni jukumu la nchi kama Tanzania kujitangaza kimataifa kuonyesha dunia kwamba hayo yanayodhaniwa Africa hapa hayapo ili, wawekezaji waone fursa, watalii wamiminike, watafiti na wasomi pia ni watu muhimu kutembelea nchi! Mfano, kitokujitangaza waKenya wakachukua fursa ya kutangaza mlima Kilimnjaro upo kwao, watalii wanashukia Kenya then wanaletwa Kilimanjaro!!

Pia tunapojitangaza tunatangaza bidhaa zetu kama kahawa, pamba, korosho na vyovyote vile tunavyozalisha ili viweze kupata masoko ya uhakika na bei nzuri ili wakulima wanufaike na wanaponufaika wao nchi inapata maendeleo!!

Kutangaza kimataifa kunaifanya nchi inaaminika, passport inakuwa na nguvu angalau!! Huwezi kuwa na nguvu wakati hata jirani yako hakujui!

Fursa za masomo, mataifa yanajumuika na taifa wanalolijua na kutoa fursa ya scholarships badala ya raia wote kungangania bodi ya mikopo.

Misaada, bado tunategemea misaada!! Kuitangaza nchi kwa mema ndipo wafadhili wanajitokeza kutia jitihada za kuchangia bakuli kwa kutoa misaada ya fedha, madawa na miradi mbalimbali!!
Excellent mzee upo vizuri sana. Nimeelewa mno.
 
Habari Yenu wakuu

Kuuliza sio ujinga licha yakuwa maswali yakijinga pia yapo.

Sitaki kuwa mjuaji katika hili nataka kuwa "open minded" .

Tunaposema kuwa nchi kutangazwa kimataifa, faida zake uwa ni zipi.

Tumekuwa na watu/taasis mbalimbali katika nyanja tofauti tofauti ambao wamekua wakilitangaza taifa letu kimataifa, Ila mpaka leo sijuagi faida yake.

Kwako mdau unajua nini kuhusiana na hili.

Tuchukulie hawa watu kwa mfano wanaleta faida gani katika kuitangaza nchi uko mbali

1. SAMATA
2.DIAMOND
3. MWAKINYO
4..ATHLETICS( WANALIAZA)
N.k

Uandishi tuvumiliane tu, amna namna.
Hili suala la baadhi ya mataifa maskini duniani kuwateuwa watu mashuhuri kuitangaza nchi kimataifa, ni sababu ya nchi hizo kukosa vyanzo va kipato, basi wanaona nchi ikitangazwa itavutiwa na watalii wengi na kuja kuongeza kipato cha nchi.
 
Back
Top Bottom