Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Ni aibu na fedhea sana...
Inakera, inachefua na kusikitisha sana..
Inaamsha hasira sana, kuona au kuskia mtoto, ndugu, jamaa au rafiki wa familia amekumbwa na uchafu, unyama au uharibifu huu..
uharibifu na uchafu huu unachochewa na mambo gani hasa ili kama miongoni mwa wanadamu humu JF kujikinga na kuepuka mazingira yatakayopelekea kutumbukia kwenye unyama na uhalifu huu mbaya sana....
licha ya kwamba ikithibitika pasina shaka umehusika katika uhalifu huu, hukumu yake ni zaidi ya miaka30..
ama hii hukumu bado ni ndogo?
Inakera, inachefua na kusikitisha sana..
Inaamsha hasira sana, kuona au kuskia mtoto, ndugu, jamaa au rafiki wa familia amekumbwa na uchafu, unyama au uharibifu huu..
uharibifu na uchafu huu unachochewa na mambo gani hasa ili kama miongoni mwa wanadamu humu JF kujikinga na kuepuka mazingira yatakayopelekea kutumbukia kwenye unyama na uhalifu huu mbaya sana....
licha ya kwamba ikithibitika pasina shaka umehusika katika uhalifu huu, hukumu yake ni zaidi ya miaka30..
ama hii hukumu bado ni ndogo?