Ni nini hatma ya Mji wa Kawe? Ulipendeza sana kwenye ramani

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kiukweli wanakawe watamkumbuka sana JK kwa mradi huu. Muonekano wake ni mzuri sana. Cha kushangaza toka mzee mzima Magu aingie mradi umebaki magofu sasa.

Jambo la kujiuliza: Je, mradi huu ulikuwepo kibajeti au kulikua na ufisadi ndani yake? Kwanini umesimama toka 2016?

Mwenye kujua chochote itapendeza zaidi akitujuza.

Huu hapa kupitia NHC

 
Ukienda kigambonj kule mbele mbele sijui kama ule mradi nao ulikamilika
 
kikwete angeendelea kuwa Rais, Tanzania kulikuwa na miji mingi sana, kigamboni kule ilitaka kuwa kama dubai, kawe ndo Jobarg, ile njia ya alihasani mwinyi mauyoga yalikuwa mengi yakaja kusizi ghafla. tunamwombea Mama akaze kamba na aombe ushauri kwa kina Kikwete ili tujenge tena nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania. speaking from a honest heart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…