Ni nini hatma ya wale ambao hawakuweka guarantor's photo.?

Matata255

Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
78
Reaction score
9
Wale ambao wamekosea application heslb kwa kutoweka picha "passport size" wafanye vp marekebisho au ndo ishakula kwao?
 
kwa taarifa za juu juu nilizopata jana kwa secreatry wa pale ofisini kwao..wale wenye shida za photo na birth certificates waandike barua kuelezea tatizo lao na waatach izo picha na kutuma via EMS......wanadai maelezo zaidi subirini watayaweka kwenye mtandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…