Ni Nini hii?

Ni Nini hii?

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Wakluu, pengine unaweza kuamka mwili wote unauma kama dalili zote za malaria. Ukienda kupima hakuna kitu. Wakati mwingine kichwa kinakuwa kizito kama ubongo umejam vile, unasikia kizunguzungu kikali sana na wakati fulani hupendi kusikia mtu akikusemesha,..ukisikia kelele mapigo ya moyo yanabadilika ghafla na kwenda kasi, pengine inapelekea uwe na hasira za mara kwa mara.. unaweza kukaa unaingiwa na hofu na pengine kushindwa hata kuendesha gari kwa woga!.

Kwa mwenye utaalamu wa hali hii tafadhali!.
 
Hizo ni dalili za kupagawa na mapepo, sikia nakupa dawa HAKUNA JINA JINGINE CHINI YA JUA WALILOPEWA WANADAMU LIPASALO KUOKOLEWA KWALO ILA JINA LA YESU! Sasa nakuweka huru,mapepo hayana nafasi ya kukutesa tena! jini maimuna nakuamuru kumwachilia kwa jina la YESU TOKAAA!
Sasa umepona kabisa hutaona tena hizo dalili we chapa kazi na usisahau kumshukuru Mungu kwa ajili ya Yesu kristo!
 
Wakluu, pengine unaweza kuamka mwili wote unauma kama dalili zote za malaria. Ukienda kupima hakuna kitu. Wakati mwingine kichwa kinakuwa kizito kama ubongo umejam vile, unasikia kizunguzungu kikali sana na wakati fulani hupendi kusikia mtu akikusemesha,..ukisikia kelele mapigo ya moyo yanabadilika ghafla na kwenda kasi, pengine inapelekea uwe na hasira za mara kwa mara.. unaweza kukaa unaingiwa na hofu na pengine kushindwa hata kuendesha gari kwa woga!.

Kwa mwenye utaalamu wa hali hii tafadhali!.
Hujatueleza wewe una Umri gani? Umeowa? Au una mpenzi? ? una fanya kazi? sasa tutaweje kukupa dawa inayo kufaaa?
 
Back
Top Bottom