Ni nini hiki kwenye gari? Ni kama sigara ni chekundu?

Ni nini hiki kwenye gari? Ni kama sigara ni chekundu?

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Mnisaidie, ni kitu gani hiki na kazi yake ni nini. Ni chekundu kiko kwenye gari za kijapan.
 
Nimekiwasha. Kina mfuniko ambao ni kama kiberiti. Kimewaka kusua mifuniko yake. Kimewaka moto mwekundu. Moto wake hauunguzi majani.

Baada ya kukiwasha, nimeshindwa kukizima. Kimewaka hadi kimeisha
 
Nimekiwasha. Kina mfuniko ambao ni kama kiberiti. Kimewaka kusua mifuniko yake. Kimewaka moto mwekundu. Moto wake hauunguzi majani.

Baada ya kukiwasha, nimeshindwa kukizima. Kimewaka hadi kimeisha
Mdogo wangu alikiwasha akashindwa kukizima akakitupa kwenye maji kikazima.
Baada ya kuangalia manual ndo tukajua ni emergency light source.
Kwa hiyo alichosema ITEGAMATWI ndo kazi yake hiyo,
 
Back
Top Bottom