Kisayansi asidi ukiichanganya na base unapata chumvi na maji. So theoretically basi dawa ya tindikali ni base au alkali. Katika nature alkali ni kama majivu. Kwahiyo iwapo mtu amekumwagia tindikali, jitahidi upate majivu na kujimwagia sehemu zote ilipogusa. Lakini hakikisha HAUFUTI maeneo hayo, yamwage tu majivu na uyaache bila kusugua. Ukisugua kuna hatari kuwa "utamenya" ngozi.
Nadharia nyingine ni kwamba maji yana uwezo wa kudilute concentration ya tindikali, kwahiyo ukijimwagia maji unapunguza molarity ya tindikali na hivyo kupunguza madhara inayoweza kukuletea. Ili maji yawe na manufaa yanapaswa kutumika ASAP.
Iwao tindika imeingia kwenye macho usitumie kitu kingine zaidi ya maji safi. Pia usifikiche macho.