Salaam alekum wana JF,
tafadhali mnijuze kazi za usalama wa Taifa (T) na pia Mkurugenzi wake ni
nani na je amefanikwa kwa kiasi gani yeye na timu yake katika kuzuia
matukio mbalimbali ambayo yangeweza kuhatarisha utulivu na amani katika
taifa hili.
Salaam alekum wana JF,
tafadhali mnijuze kazi za usalama wa Taifa (T) na pia Mkurugenzi wake ni
nani na je amefanikwa kwa kiasi gani yeye na timu yake katika kuzuia
matukio mbalimbali ambayo yangeweza kuhatarisha utulivu na amani katika
taifa hili.