Ni nini kifanyike ili mahusiano yaweze kurejea kama kipindi kile cha uumbaji, kati ya Adam na Hawa?

Ni nini kifanyike ili mahusiano yaweze kurejea kama kipindi kile cha uumbaji, kati ya Adam na Hawa?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wakuu, habari?

Natumaini bado mnaendelea kumalizia sikukuu kwa mapochopocho ya hapa na pale ili mradi kufurahisha nafsi pamoja na kujipongeza kwa uhai ulionao mpaka siku ya leo.

Inawezekana katika kusherehekea huku, kuna wengine wametumia gharama mbalimbali za kifedha, laki kwa malaki au milioni kwa mamilioni, lakini yote ni kufurahia maisha; kwa sababu tunaishi mara moja, na muda wa kutumia ni sasa.

Tuje kwenye mada; kuumbwa kwa mwanaume na mwanamke katika hii dunia kulikuwa na sababu kuu ya hawa wahusika kupeana faraja, katika harakati za hapa duniani.

Na mahusiano yakiwa imara; upelekea kukua kwa uchumi, furaha ya watu kuongezeka, na hatimaye kujiona mtu spesho katika hii dunia.

Changamoto zinazoharibu mahusiano kwa sasa; ni watu kugeuza mahusiano kama fursa ya kiuchumi, na si kuangalia utu tena. Hii imepelekea watu kukata tamaa, wengine kujinyonga, wengine wanazalishwa na kuachwa, wengine wanajibadili jinsia, wengine leo yuko na huyu na kesho yuko na yule n.k

Sijajua, ni nini chanzo cha hayo yote; ambacho tutakiita kisababishi cha mapinduzi katika mahusiano.

Nyakati hizi, kama kijana hana kipato asahau kabisa mambo ya kimahusiano, lasivyo akafanye mahusiano na mifugo, iwe mbuzi , kuku, ng'ombe n.k

Sasa wakuu, mnahisi ni nini kifanyike ili mahusiano yaweze kurejea kama kipindi kile cha uumbaji, kati ya Adam na Hawa?​
 
Mchawi ni mfumo wa kidunia capitalism ni rafiki wa uasi ......maana ni mfumo usiotaka usawa ni mwendo wa magap tu


Na bado huko mbeleni kila mtu asiejielewa kuhusu utafutaji lazima awe mshirikina,punga,au criminal

Japo ujamaa nao unadumaza akili ila kidogo unaafadhari kimaadili
 
Kiufupi wanawake wanatutesa sana sisi
Ishu sio wanawake ni mfumo tu

Wajanja walikaa wakafikiri wanaume wanapenda wanawake sana ,,,,,so ni kinawavutia wanawake kwa mwanaume wakagundua ni mali,umaarufu,cheo(siasa au elimu), mapambo km gold,platinum.......sasa ndio wamewapa mashart ukitaka kuvipata chap kuna terms and negotiating 😁😄😂

Kiufupi vitu vingi duniani vimeanzishwa kwa kuangalia psychology ya binadamu
 
Ishu sio wanawake ni mfumo tu

Wajanja walikaa wakafikiri wanaume wanapenda wanawake sana ,,,,,so ni kinawavutia wanawake kwa mwanaume wakagundua ni mali,umaarufu,cheo(siasa au elimu), mapambo km gold,platinum.......sasa ndio wamewapa mashart ukitaka kuvipata chap kuna terms and negotiating 😁😄😂

Kiufupi vitu vingi duniani vimeanzishwa kwa kuangalia psychology ya binadamu
Hahahahha tutafika tukiwa hoi
 
Matatizo ya mahusiano/ ndoa Kwanza yalianzia kwa akina hao hai Adam na Hawa waliasisi ukaidi wa taratibu Mungu alizoziweka walizotakiwa kuzifuata na walipokaidi hawakuwa tayari kwa collective responsibility Adam hakuwa tayari kushikamana na mkewe Hawa kwa makosa yao wote wawili zaidi alimtupia lawama Hawa mkewe kwamba ndio chanzo cha ukaidi na makosa dhambi hii itawatafuna wanadamu mpaka mwisho wa Dunia . Mpala Leo kuhusu mahusiano habari zinazotrend ni ama wanaume kulaumu ubaya wa wake zao ama wanawake kujaza kasoro na mabaya za waume wao . Alipokuja Yesu wanafunzi wake walimuuliza Mt 19:10 wakihoji kama mambo ya mume na mke yako hivo wakamwambia Yesu Basi watu wasioane ,jibu la Yesu akawajibu sababu ya ugumu wa mioyo ya wanadamu ndio inaleta shida ila Yesu aliongezea kwamba unahitaji kujaliwa na Mungu maana mwanzilishi wa ndoa ni Mungu Mwanzo 2:18-24 .Zamani walikuwepo EMAU ( UMOJA WA ELIMU NA MALEZI YA VIJANA) sijui waliishiaga wapi walikuwa waanzilishi nawakumbuka akina Mama Kundya nk walisaidia sana kuandaa maendeleo ya Vijana kielimu na kimaisha ikiwemo ndoa Bora .
Mabadiliko ya kijamii Duniani yanakuja na changamoto nyingi;
-kuhamia maisha ya mijini na mahusiano ya tamaduni tofauti
-kazi nyingi mgawanyo wa majukumu na nafasi
-kukua kwa technology
-ubinafsi uletao talaka na maisha ya umimi na upweke
-mashindano ya kutafuta Nini maana ya maisha
Hata leo wanadamu wanajitengenezea kanuni zao katika kuendesha ndoa badala ya kuongozwa na neno la Mungu mwanzilishi wa ndoa maana Mpango wa Mungu anataka tupendane kwa moyo wote 1 Petro 1:22 ambayo itawajengea tabia ya kupendana ,kufarijiana,kusaidiana,kusititiana na kuheshimiana

Ebu tushare wote somo hili linaweza kutusaidia kuimarisha mahusiano yetu hasa NDOA
1. Fuata muongozo wa Mungu ili uwe na ndoa yenye furaha
2.Uwe mshikamanifu kwa mwenzi wako
"Muulize mwenzi wako jinsi unavyoweza kuwa mume au mke mwema.sikiliza kwa makini na ujitahidi kabisa kufanya marekebisho"
3.Fanyeni maamuzi pamoja
"Mbali ya hisia zenu ,mwenzi wako ndiye anatakiwa awe wa mshauri na msiri wako mkuu"
4.Heshimu ndoa yako,tanguliza ndoa yako usijifikirie wewe
' tumia Muda wa kutosha na mwenzi wako na Family kwa ujumla'
5.Matatizo ya ndoa zungumzeni pamoja maana nyie ndio mnaojua mzizi wa fitina uko wapi
'sikiliza tatizo toka kwa mwenzi wako ukiwa na mtazamo unaofaa hasa jawa na upendo zaidi ,jitahidi kuelewa anachomaanisha mwenzi wako zingatia pia sauti na ishara'
'amueni mambo husasani ambayo kila mmoja wenu atafanya ili kusuluhisha tatizo lenu'-mara kwa mara ,changanueni maendeleo mnayofanya JIULIZE... Ni tatizo gani ambalo ninahitaji kuzungumzia na mwenzi wangu haraka? Nitafanya Nini ili nijue jinsi mwenzi wangu anavyohisi kuhusu tatizo hili Kuhajack mawasiliano haitakusaidia sansana
6.Kuhusu PESA pangeni mapato na matumizi kwa pamoja ,kwa familia inayomtegemea Mungu kikweli kwao Mungu Kwanza,Ndoa,watoto,Mali,ndugu ndio watafuata bila Mungu ubinafsi utaleta umimi,uchoyo,usiri ambao sio mzuri kwa ustawi wa ndoa Bora.

-mnaweza kukubaliana kiasi Cha pesa kila mmoja Cha kutumia apendavyo pia Ni vyema Mali za wanna ndoa mmiriki kwa pamoja siku hizi wizara ya ardhi inatoa form kwa wanandoa na watoto kumiliki ardhi na nyumba kwa umoja iwapo mmoja wapo ana sababu mazokubaliana amiliki Mali mfano nyumba au shamba peke yake mnaweza kukubaliana ilimradi muweke wazi kuhusu mirathi iwapo mmoja atatangulia mbele za haki.
7.Zungumzeni jinsi ya kulea watoto kwa pamoja ,elimu yao ,ibada ,tabia zao future zao.
8.Zungumzeni jinsi ya kuishi kwa amani na watu wa ukoo.
- wekeni mipaka inayohitaji ' ikiwa unahisi kwamba watu wa ukoo wanajihusisha kupita kiasi na maisha yenu ,zungumzia jambo hili pamoja kubalianeni jinsi mtakavyoshughulikia hali hizo.
9.Watoto hubadili maisha ya wanandoa
- mtoto atapozaliwa mama atatumia muda mwingi kumtunza mtoto wanaume wengi hufanya makosa kuona wanapuuzwa kiupendo BabBaba msaidie mke wako kumtunza mtoto hata kama Ni usiku punguzs muda wa kufanya mambo mengine ,saidianeni Malezi na na makuzi ya mtoto.
Mama mume wako anapotimiza wajibu wake kumtunza mtoto kubali wajibu wake kama hafanyi mwelekeze fadhili mwelekeze jinsi anavyopaswa kufanya usimkosoe kumbukeni wana ni urithi pekee wenu Kutoka kwa Mungu - ZABURI 127:3
10. Shirikianeni janga au majanga yanapotea mfano magongwa makubwa,kufilisika,kufukuzwa kazi 1 Petro 1:6


Jioni njema
Kwa ndugu zangu waislam nfungo mwema na muda futari umewadia ,futari njema
 
Wakuu, habari?

Natumaini bado mnaendelea kumalizia sikukuu kwa mapochopocho ya hapa na pale ili mradi kufurahisha nafsi pamoja na kujipongeza kwa uhai ulionao mpaka siku ya leo.

Inawezekana katika kusherehekea huku, kuna wengine wametumia gharama mbalimbali za kifedha, laki kwa malaki au milioni kwa mamilioni, lakini yote ni kufurahia maisha; kwa sababu tunaishi mara moja, na muda wa kutumia ni sasa.

Tuje kwenye mada; kuumbwa kwa mwanaume na mwanamke katika hii dunia kulikuwa na sababu kuu ya hawa wahusika kupeana faraja, katika harakati za hapa duniani.

Na mahusiano yakiwa imara; upelekea kukua kwa uchumi, furaha ya watu kuongezeka, na hatimaye kujiona mtu spesho katika hii dunia.

Changamoto zinazoharibu mahusiano kwa sasa; ni watu kugeuza mahusiano kama fursa ya kiuchumi, na si kuangalia utu tena. Hii imepelekea watu kukata tamaa, wengine kujinyonga, wengine wanazalishwa na kuachwa, wengine wanajibadili jinsia, wengine leo yuko na huyu na kesho yuko na yule n.k

Sijajua, ni nini chanzo cha hayo yote; ambacho tutakiita kisababishi cha mapinduzi katika mahusiano.

Nyakati hizi, kama kijana hana kipato asahau kabisa mambo ya kimahusiano, lasivyo akafanye mahusiano na mifugo, iwe mbuzi , kuku, ng'ombe n.k

Sasa wakuu, mnahisi ni nini kifanyike ili mahusiano yaweze kurejea kama kipindi kile cha uumbaji, kati ya Adam na Hawa?​
hivi adam na hawa si ndo walifarakana au mi nakosea
walishindwa kulea watoto hadi wakauana
adam akashindwa kum manage hawa hadi akadanganywa na nyoka
sasa tunajifunza nini kwao
 
Wakuu, habari?

Natumaini bado mnaendelea kumalizia sikukuu kwa mapochopocho ya hapa na pale ili mradi kufurahisha nafsi pamoja na kujipongeza kwa uhai ulionao mpaka siku ya leo.

Inawezekana katika kusherehekea huku, kuna wengine wametumia gharama mbalimbali za kifedha, laki kwa malaki au milioni kwa mamilioni, lakini yote ni kufurahia maisha; kwa sababu tunaishi mara moja, na muda wa kutumia ni sasa.

Tuje kwenye mada; kuumbwa kwa mwanaume na mwanamke katika hii dunia kulikuwa na sababu kuu ya hawa wahusika kupeana faraja, katika harakati za hapa duniani.

Na mahusiano yakiwa imara; upelekea kukua kwa uchumi, furaha ya watu kuongezeka, na hatimaye kujiona mtu spesho katika hii dunia.

Changamoto zinazoharibu mahusiano kwa sasa; ni watu kugeuza mahusiano kama fursa ya kiuchumi, na si kuangalia utu tena. Hii imepelekea watu kukata tamaa, wengine kujinyonga, wengine wanazalishwa na kuachwa, wengine wanajibadili jinsia, wengine leo yuko na huyu na kesho yuko na yule n.k

Sijajua, ni nini chanzo cha hayo yote; ambacho tutakiita kisababishi cha mapinduzi katika mahusiano.

Nyakati hizi, kama kijana hana kipato asahau kabisa mambo ya kimahusiano, lasivyo akafanye mahusiano na mifugo, iwe mbuzi , kuku, ng'ombe n.k

Sasa wakuu, mnahisi ni nini kifanyike ili mahusiano yaweze kurejea kama kipindi kile cha uumbaji, kati ya Adam na Hawa?​
Wanawake Ni ubavu Ndio Maana wako hivyo 😂
 
Back
Top Bottom