Ni nini kilikushawishi ukajikuta umefanya mapenzi kwa mara ya kwanza katika maisha yako?

Ni nini kilikushawishi ukajikuta umefanya mapenzi kwa mara ya kwanza katika maisha yako?

Lover boi

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
316
Reaction score
439
Habarini natumaini muwazima.

Twende kwenye mada.

Ni ushawishi gani au kitu gani kilikufanya ukajikuta umefanya mapenzi Kwa mara ya kwanza na ulijisikiaje.

Kwa mimi ilitokea baada ya washikaji kutuambia tukatembee mida ya usiku na mda huo tupo boarding.

Tulipofika eneo fulani tulikuta Malaya wanajiuza na miongoni mwetu kuna watumiaji Wana walijichukulia wakamalizana nao kimbembe kikaja kwangu na ubaya nilikuwa na ela nilikutana na ushawishi wa hali juu nilishindwa kuvunga nikajikuta nimekubali baada ya hapo mmh ndo nilikuwa captain sasa.

Je vipi kuhusu wewe ilikuwaje
 
Mie sikuwa na ushawishi, ni moja ya vitu nilikuwa natamani kuanza kufanya/kuvijua...yaani kufanya mapenzi kwangu mie ilikuwa ni dream come true 😁

Vingine nilikuwa natamani ni kuvunja ungo na kuwa na maziwa makubwa(hii bado naifanyia kazi)
 
Ahahahhaahah😁😁 daah wee mwamba yaanii uligegeda kwa mara ya kwanza kwa kununua🙌
 
Mm nilikuwa form four nilipangishiwa geto na mzee wangu, sasa mama wa mwenye nyumba nilikuwa naishi nae nyumba moja kuna kipindi alisafiri kaenda Dar kwakuwa alikuwa analala na wajukuu ilibidi mke wa mwenye nyumba aje alale na watoto akamwacha Mme wake nyumba nyingine

Sasa akawa analala nyumba moja na mm haikupita muda akaanza kuingiza mchepuko ndani mbususu inapigwa na makelele kibao mwisho wa siku uvumilivu ukanishinda nikamwomba na mimi bila hiyana akanipa nikala ikawa mchezo wetu mchepuko usipokuja nakula mimi
 
Mm nilikuwa form four nilipangishiwa geto na mzee wangu, sasa mama wa mwenye nyumba nilikuwa naishi nae nyumba moja kuna kipindi alisafiri kaenda dar kwakuwa alikuwa analala na wajukuu ilibidi mke wa mwenye nyumba aje alale na watoto akamwacha Mme wake nyumba nyingine sasa akawa analala nyumba moja na mm haikupita muda akaanza kuingiza mchepuko ndani mbususu inapigwa na makelele kibao mwisho wa siku uvumilivu ukanishinda nikamwomba na mimi bila hiyana akanipa nikala ikawa mchezo wetu mchepuko usipokuja nakula mimi
Ahahaaahah duuuh uliweza kumhimili kwel uyo maza haahaha?
 
Haukujua ata ivo asingeweza ata kama angejua maana mm ndo nilikuwa nawalinda wasikamatwe mwenye mke akigonga mlango mchepuko unaingia kwangu kujificha
Alikua ameshatoka ndipo nawe ukaomba ama nini
 
Back
Top Bottom