nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,342
- 3,885
Ukifuatilia sana juu ya mauaji ya kimbari huko Rwanda mwaka 1994 utaambiwa waliouwawa wengi ni watusi. Hata kwenye move nyingi zilizochezwa watusi ndio walionekana kuwawa sana.
Kwa nini watusi walikuwa wapole na wasishike mapanga na kuwauwa wahutu?
Kwa nini watusi walikuwa wapole na wasishike mapanga na kuwauwa wahutu?