Uliyesoma tuambie japo kwa kifupisoma vizuri historia.
Uliyesoma tuambie japo kwa kifup
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Waliamua kufuata mfano wa Mandela,kusamehe na kutolipiza kisasi
Acha uvivu jamaa yangu kila siku tunazungumzia hilhili
wewe na nitonye mnaturudisha nyuma
Google au Wikipedia kuna habari kibao kuhusu Watutsi walivyoitungua Ndege iliyombeba Habyarimana akitokea arusha akiwa na Ndadaye (wote Wahutu) hapo Watutsi walishajua kosa lao kwa hiyo ulitaka waendeleze tena moto wakati hiyo sio Nchi yao. Fuatilia vitabu na Historia ya Watutsi ni wageni waliotoka mashariki ya kati wakaingia Ethiopia (Bahima) ndipo wakawakuta Watwa na Wahutu (Wabantu)