Ni nini kinasababisha wanaume waliopo kwenye ndoa kupendwa na wanawake wengi?

Ni nini kinasababisha wanaume waliopo kwenye ndoa kupendwa na wanawake wengi?

Joined
Feb 16, 2013
Posts
2
Reaction score
1
Ndugu wasomaji wa sehemu hii, nimekuwa nikifuatilia sana na kwa muda mrefu, HIVI NI KWA NINI WANAUME tulio wengi tumekuwa tukishinikizwa kuwa na mahusiano na wasichana wasiokuwa kwenye ndoa? utagundua kuwa ukiwa hujaoa wasichana wa aina hii hawajitokezi mara tu ukioa hata wale waliokususa wanarudi kukutaka, ukimwambia tayari ninamke utasikia nipo tayari tuwe wawili najiuliza kwanini? Hawa mabinti ndio wanasababisha tunatelekeza familia zetu ni tatizo kwa kweli, naombeni sana mabinti watuhurumie.
 
women love aharing d.i.c.k...na hawapendani which is gud news for us....tunawagegeda tuu na kuwatupa kule
 
Ndugu wasomaji wa sehemu hii, nimekuwa nikifuatilia sana na kwa muda mrefu, HIVI NI KWA NINI WANAUME tulio wengi tumekuwa tukishinikizwa kuwa na mahusiano na wasichana wasiokuwa kwenye ndoa? utagundua kuwa ukiwa hujaoa wasichana wa aina hii hawajitokezi mara tu ukioa hata wale waliokususa wanarudi kukutaka, ukimwambia tayari ninamke utasikia nipo tayari tuwe wawili najiuliza kwanini? Hawa mabinti ndio wanasababisha tunatelekeza familia zetu ni tatizo kwa kweli, naombeni sana mabinti watuhurumie.

Hupendwa ama wanataka kukuachia maradhi hao
 
Ndugu wasomaji wa sehemu hii, nimekuwa nikifuatilia sana na kwa muda mrefu, HIVI NI KWA NINI WANAUME tulio wengi tumekuwa tukishinikizwa kuwa na mahusiano na wasichana wasiokuwa kwenye ndoa? utagundua kuwa ukiwa hujaoa wasichana wa aina hii hawajitokezi mara tu ukioa hata wale waliokususa wanarudi kukutaka, ukimwambia tayari ninamke utasikia nipo tayari tuwe wawili najiuliza kwanini? Hawa mabinti ndio wanasababisha tunatelekeza familia zetu ni tatizo kwa kweli, naombeni sana mabinti watuhurumie.
Manapendwa kwa sababu mume wa mtu hana stress akija kwako akiondoka anaenda kwa mkewe hakubani alf unakuwa free
 
Back
Top Bottom