EstherSaid
Member
- Jun 3, 2024
- 38
- 84
Nimejaribu kutafakari mnoo swala hili la matukio ya kikatili nchini hususani mikoani Dodomaš majibu kamilifu sina.
Ila Mimi naona kwa sector ya masuala ya Imani kumelegea mnoš„².
Watu hawana tena hofu ya Imani zao yaani Mungu š kwa sababu kwa matukio haya.
Kwa kweli Watanzania hofu ya Mungu inapungua siku Hadi siku š Viongoz wa dini, familia majumbani, waalimu mashulenii tuhimize hofu ya Kimungu jamaniš„ŗau nyie mnasemaje jamani?š„²
Soma Pia: Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) yakemea vitendo vya utekaji, ukatiili na mauaji yanayoendelea nchini
Ila Mimi naona kwa sector ya masuala ya Imani kumelegea mnoš„².
Watu hawana tena hofu ya Imani zao yaani Mungu š kwa sababu kwa matukio haya.
Kwa kweli Watanzania hofu ya Mungu inapungua siku Hadi siku š Viongoz wa dini, familia majumbani, waalimu mashulenii tuhimize hofu ya Kimungu jamaniš„ŗau nyie mnasemaje jamani?š„²
Soma Pia: Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) yakemea vitendo vya utekaji, ukatiili na mauaji yanayoendelea nchini