Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Unanunuavsimu mpya wakati uliyonayo insfanya kazi vizuri tu. Sababu ni nini hasa?
Hahahaha me vilinishindaMe nimechoka kadogo natafta tablet NW nataman kubeba handbag namm....
Zinaniumiza masikio na sipendelei sana hua natumia mara chache na haizidi dk tanoUngekuwa unatumia earphones kupokelea
niuzie hiyo iphone5 elfu hamxini maana tayari unayo nyingine mi mwenzio sijawahi kutumia iphoneMimi ilikuwa iPhone 5 nilitamani iPhone 7 sasa Nina zote mbili.
Correction: unanunuliwaUnanunuavsimu mpya wakati uliyonayo insfanya kazi vizuri tu. Sababu ni nini hasa?
Jipepelee Dsm jotoMe yangu ilokua tab niliinunua kwa ham nilikua nataman tu kutumia tablet kizaazaa nikiwa mbele za watu kuipokea watu wananiangalia naona had aibu na vile nibebe handbag hata kwa safar zisizohitaj nibebe nikaona mzigo huu