Ni nini tofauti ya speed katika vyombo vya moto

Ili kuelewa swali hili inabidi ukasome Physics ndio utaweza kujibu, au jiulize kidogo tu Kwanini Toyota Alteeza ya mashindano inakimbia zaidi kuliko Alteeza ambayo si ya mashindano
Maswali yako ni ya kitoto. Kwani hujui gari aina moja zinaweza kuwa na injini tofauti?

Mfano kuna Toyota brevis moja ina CC2500 na nyingine 3000
 
Hiyo 180 km/h na 220km/h hizo ni top speed, unaweza ukamiliki gari wakati wote na usiweze kutembelea top speed, unaweza ukawa unaishia 100, au 120, kwa hiyo hats gari yenye dashboard yenye top speed ya 260 ikawa inaenda Morogoro kwa speed ya 80km/h lazima itapitwa na pikipiki inayokwenda kwa 100km/ h kwa sababu hiyo Mwenye gari kaamua tu kwenda spidi ndogo, kwa hiyo kama nyinyi mlikuwa na landcruisser ya petrol kwa kumaliza zote 180 yawezekana mwenzenu wa mliokuwa mnafuatana alikuwa anatembea 140.
 
Kama yutong inaenda max speed ya 50 na ist inaenda 60 ist haitapitwa,hivyo ni vipimo standard, ni Sawa na MTU kusema kilo moja ya mawe ni nzito kuliko kilo moja ya pamba. Speed meter ni instrument iliyotengezwa kwa umakini sana wazungu hawabahatishi,kama unavyoona mizani, rula, saa nk, labda tu hiyo instrument ipate matatizo ya kiufundi inaweza kusoma tofauti.ndiyo maana hata tochi za trafiki ziko standard.si kwa gari dogo wala kubwa.
 
Mwepesi kufeli! Hivi unadhani kwanini speed signs za barabarani zimekuwa aina moja kwa vyombo vyote!?

Speed 100 kwenye dashboard ni lazima iwe sawa na mwendo kasi wa barabarani, bila kujali ni chombo gani!
Well said[emoji122]
 
Ahsante kwa jibu zuri sana mkuu
 
 
Mkuu umefafanua vzr sana... Ila hapo kwenye 2000cc za mjapan na 4000cc za mmarekani... Hiyo ingine ya 4000cc tena ya petrol mafuta yake si ni balaa..
 
Mkuu umefafanua vzr sana... Ila hapo kwenye 2000cc za mjapan na 4000cc za mmarekani... Hiyo ingine ya 4000cc tena ya petrol mafuta yake si ni balaa..
Hapana.. Unajua injini inapokuwa kubwa inakuwa inazunguka kidogo kidogo lakini mwendo unakuwa mkali.. Kama wewe ni wa cku nyingi utakumbuka kulikuwa na Phoenix za 'jembe kubwa na jembe dogo'. Phoenix ya Jembe kubwa unanyonga kidogo lakini inatoka nduki balaa na wakati ile ya jembe dogo unanyonga sana ila haikimbii na badala yake unaweza ukapakia gunia tatu za mkaa na bado ukapandisha mlima bila kusimamia.
 
Big up Mkuu kwa swali nzuri,Pikipiki ikiwa kwenye speed 100 na gari ikawa kwenye hiyo hiyo speed hazitaenda sawa zitaachana either gar au pikipiki itakuwa mbele.Kuhusu gari aina ya land cruiser v8 petrol engine speed 180 na land cruiser v8 diesel engine speed 220 hapo mkuu inawezekana hiyo cruser inayotumia diasel ina tatizo kwa sababu hizo gari zote engine zina cylinder 8(v8) ila tofauti ipo kwenye fuel (petrol light fuel &diesel heavy fuel)vilevile kwa speed ya 220(land cruser v8 diesel engine) itakuwa imemzidi power(Hp) hiyo land cruiser v8 petrol engine, nahisi shape ziko sawa .......Kwann ameshindwa kukupita inawezekana anajua hali ya gari lake haliko vizuri,ameogopa kwenda na speed kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…