shukrani kaka...nimeanza kupata picha sasaOk kwanza kabisa ujue hakuna TB ya moyo.TB ni ugonjwa unao shambulia zaidi mapafu(pulmonary TB) na huwapata watu wenye HIV/AID, ila kuna TB ambazo hushambulia nje ya mapafu (extrapulmonary TB) Kama kwenye mitoki(lympnodes) japokuwa ni rare sana kutokea.Tukirudi kwenye maelezo yko huwenda mgonjwa wko akawa na TB ya pleural sac ((hiki ni kifuko ambazo hutenga kati ya kuta za mbavu na mapafu ))kikijaa maji huufunika moyo nadhani ndo maana daktari akakwambia kuwa mgonjwa wko ana TB ya moyo.