Ni nini uliwahi kufanya kwenye mahusiano yako mpaka ukapewa onyo la mwisho?

Ni nini uliwahi kufanya kwenye mahusiano yako mpaka ukapewa onyo la mwisho?

amiventawo

Member
Joined
Nov 4, 2020
Posts
23
Reaction score
24
Habari zaivipunde wakuu

Leo nimekanywa vikali na kitoto cha 2000 na mkwara mzito juu.

Kisa tuu rafiki yake kawa rafiki yangu.

Anahisi nitarumbuw muda wowote.
 
Ukirudia kuletwa umebebwa kwenye matoroli ya taka kisa umeokotwa ukiwa umelewa hujitambui hutoishi na mimi tena

Hapo ni tarehe 3 janury. Home nilitoka tar. 23 desemba
 
Sema nimepewa onyo na mtoto wa rika langu.

kenge we.

Uandishi gani huo?
 
Habari zaivipunde wakuu

Leo nimekanywa vikali na kitoto cha 2000 na mkwara mzito juu.

Kisa tuu rafiki yake kawa rafiki yangu.

Anahisi nitarumbuw muda wowote.
Tushakuvua vyeo mvuvi wa papa
 
Back
Top Bottom