Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Serikali iliruhusu nchi za jirani kusomba vyakula toka moja kwa moja kwa wakulima na nchi kama Kenya wakawa wanasindika na kuuza nchi za vita kwa nembo yao kama vile Somalia na Sudan Kusini.
Sasa baada ya hali kuwa tete nchini (bei kubwa na uhaba), serikali sasa inazinduka usingizini na kutoa vibali chakula kiagizwe toka nje ya mipaka.
Mhe. Bashe alivyokuwa bingwa wa kupiga kelele Bungeni kabla hajawa waziri, sasa ni dhahiri amepwaya kwenye nafasi yake hiyo hivyo naye pia anastahili kupigiwa kelele.
View attachment 2520895
Sasa baada ya hali kuwa tete nchini (bei kubwa na uhaba), serikali sasa inazinduka usingizini na kutoa vibali chakula kiagizwe toka nje ya mipaka.
Mhe. Bashe alivyokuwa bingwa wa kupiga kelele Bungeni kabla hajawa waziri, sasa ni dhahiri amepwaya kwenye nafasi yake hiyo hivyo naye pia anastahili kupigiwa kelele.
View attachment 2520895