Ni njia ipi sahihi ya kuondoa sumu tumboni, itokanayo na unywaji wa pombe wa kupita kiasi?

nenda sauna kwa siku saba mfululizo , halafu rudi utupe majibu , pia tafuta laxative tabs.
 

Pia ni anti- aging (inapunguza kasi ya kuzeeka)
 
Ikiwa mlengwa ni mnywaji wa vinywaji vikali, km konyagi,na bia ni ipi njia ya kuondoa sumu mwilini itokanayo na vinywaji hivyo km mlengwa ameacha matumizi ya vinywaji hivyo kabisa?
kama upo dar nikuunganishe na mtu akuuzie kitabu kinachohusu pombe.
 
Hapo Kwenye Red wine umenikosha mimi49
 
Ni zaidi ya mazingaumbe. Wajinga ndio waliwao

hiv hata zile kompyuta wanazodai kupima magonjwa zinaukweli wowote?maana huwa najiuliza sana kama nikweli kwanin serikali isiziweke ktk hospitali zetu?na kama uongo kwnn waenderee kuachiwa kupotosha watu?
 
hiv hata zile kompyuta wanazodai kupima magonjwa zinaukweli wowote?maana huwa najiuliza sana kama nikweli kwanin serikali isiziweke ktk hospitali zetu?na kama uongo kwnn waenderee kuachiwa kupotosha watu?
Ingekuwa tiba ni rahisi hivyo basi hizo compyuta zingekuwa zimejaa MUHIMBILI, K.C.M.C, BUGANDO
na MBEYA. Wanachokifanya ni kuwa wame install software za system za mwili kwenye hivyo vicompyuta. sasa unapokamata tuu wanabonyeza na kuona labda moyo unafanya kazi, kwa sababu wewe unaumwa utaamini ni wakwako kumbe magumashi matupu
 
Nature's best product for toxins removal za kuondoa sumu hizo hapo
 

Attachments

  • 1398433889558.jpg
    16.3 KB · Views: 112
Ajizoeshe pia kutumia green tea (ziko maduka makubwa kwa wingi tu) na hata red tea pia (rooibos). Zinasaidia kuhuisha seli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…