Mungu ameibariki tanzania kwamba karibia kila sehem kuan Branches za Bank.
Tuache ivuvu na kuogopa majengo ya Bank,nenda kwa Branch Manager yoyote atakusaida
Humu ni ngum kupata maelezo maana kila kampuni ina namna yake ya kupewa mkopo.Sasa kuuliza General namna hii ni ngum sana kupata maelezo sahihi na pia Bank zionatofautiana conditions na Terms kwa ujumle.
Ila kama yako inaenda kwa hasara hapo kazi unayo.
Anagalizo:-
Fuata njia halali za kuomba mkopo usije ukawauwa wazazi wako kwa pressha,maana nahisi kitu hapo