Wanawake wengi leo wamesoma na wana uelewa mpana sasa katika mambo ya jamii na pia uchumi wao si haba.Hayo yote hayatawasaidia bila kuthubutu kuonyesha kwa vitendo kuwa wanaweza hata kuongoza na kusimamia masuala mbalimbali.Kama waziri anaulizwa swali general la utalii anashindwa kujieleza,tutegemee nini kwa wanawake?Tusisubiri kuonekana wakati tu wa uchaguzi kama Anna Senkoro baadaye unapotea.
Waonyeshe kwa utendaji wao katika nafasi walizo nazo sasa hivi kuwa wanaweza kuwashawishi umma kuwa marais,mawaziri,wabunge wa kuchaguliwa(not special seats),wakuu wa mikoa n.k.
Pia wasirudikane TAWLA,TAMWA,Wizara ya maendeleo,jinsia na watoto waende pia wizara ya ulinzi na JKT,Kilimo n.k