Waliotangulia si wadhambi kutuzidi siye no, ni foleni tu inazidi kusogea. Zamu ya nani kati yangu mi na wewe hatujui?
Kumbuka ukishazikwa na mambo yako yote hayana thamani tena mbele ya walimwengu waliohai, jina lako lapoteza Nuru duniani.
Dunia ijapotikiswa ni nyakati za kuomba.Ee Mola tujaalie kukumbuka na tujaalie mwisho mwema.🙏