PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
habari wana JF!
Nmekua naona wanaume /wanawake wanaotaka kuwa kitu kimoja(kuoana) kuna kamsemo ''ndio chaguo langu'' kumbe mtu anaangalia vigezo vya maslahi.
Hili lipo zaidi kwa akina dada wanaomaliza 1st degree zao au amepata kazi yake hataki kuishi na mwenzie ...hivi ni ajili hiyo ya kuogopa ugumu huu wa maisha?
Nawakilisha.
Sio mimi Rose!Mimi ninavyo vishawishi lazima watanasa wenyewe bila kuitwa!Hayo nimeyaona kwa macho yangu pia nasoma kwenye vyombo vya habari.Nawewe ndio wale wale?dzain umekataliwa kuish na mtu?maslahi kaka