Me zaidi ya hapo nimekoswa sasa daaaah,ntaolewa na nani.
Mmmmmmhhh asante mkuu kwa tahadhari yko ila ngja niwe mvmilivu labda ntafanikiwa
usihofu nipo nami nahitaji wayf.sifa awemcha Mungu na mchapakazi,
mwepesi kusamehe na kusahau.kama yupo anipm.(sitanii).