Wanajamii hakuna kitu kinadumisha mapenzi kama ukiwa na mwenzi wako na mnaaminiana na pale unapomhitaji unampata!na akiwa kwenye shughuli zake kakuacha nyuma kakuacha na simu yake!Mpaka unahisi wewe ndo mwenye dunia!isitoshe unambiwa vipi utanipitia kazini?ni ishara tosha mapenzi yanakuwa yamemea!je wewe nimiongoni kati ya watu ambao mnaendesha mapenzi kwa stayle hii?Sema hisia zako je?
mbona miaka mitatu mingi sana mwez tuHayo mapenzi ya mwanzoni kabla true colors hazijaonekana subiri ipite miaka miatatu hv utaniambia!
Sijawahi kumwona mwanamke akipenda namna hii!
Sijawahi kumwona mwanamke akipenda namna hii!
After all was in place, God created MAN. Then RESTED.
Then God created WOMAN.
Since then NO ONE HAS RESTED!
dah!kwel we great thinker.u made ma day
Wanajamii hakuna kitu kinadumisha mapenzi kama ukiwa na mwenzi wako na mnaaminiana na pale unapomhitaji unampata!na akiwa kwenye shughuli zake kakuacha nyuma kakuacha na simu yake!Mpaka unahisi wewe ndo mwenye dunia!isitoshe unambiwa vipi utanipitia kazini?ni ishara tosha mapenzi yanakuwa yamemea!je wewe nimiongoni kati ya watu ambao mnaendesha mapenzi kwa stayle hii?Sema hisia zako je?
hapo mapenzi ya aina hiyo yapo japo yanatokea in a rare case kama ww haujabahatika wala usibishe subiri wenzio watoe ushuhuda...mi mapenzi yangu ni machanga siwezi comment chochote...kujisifia then yakanitokea puani akuu!ngoja nisubiri miaka miwili mitatu ikatike!
CHEZA NA MPIRA, USICHEZE NA MWANAMKE .... !