Ni raha sana kuangalia taarifa ya habari TV za Kenya

Ni raha sana kuangalia taarifa ya habari TV za Kenya

ushashi

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
375
Reaction score
518
Media za Kenya kwenye technology ya urushaji matangazo wako vizuri wametuacha mbali sana. Jamaa wako vizuri, presenters wako vizuri, na wanajua wanachorusha hewani.

Kwa mfano jana ilikuwa siku ya uwasilishaji wa Bajeti ya nchi Bungeni, media za Kenya zimepresent excellent, yaani mlaji anaelewa na ana enjoy. It's all about nambers sio maneno maneno. Graphs zenye mwonekano mzuri, tabulated nambers, yaani very very nice.

Hapa kwetu sasaaaa uuiwiiiii, utasikia NIKIRIPOTI KUTOKA BUNGENI DODOMA MIMI NI GODFREY MONYO WA ITV kamaliza. Habari inayofuata ni semina ya uhamasishaji kunywa maziwa eti nayo ni habari inarushwa prime time.

Wakenya hongera sana.
 
Kuna kitu inaitwa " the explainer" inaleta na mdada anaitwa Ivoner matore....asee ni babkubwa
 
Media za Kenya kwenye technology ya urushaji matangazo wako vizuri wametuacha mbali sana. Jamaa wako vizuri, presenters wako vizuri, na wanajua wanachorusha hewani.

Kwa mfano jana ilikuwa siku ya uwasilishaji wa Bajeti ya nchi Bungeni, media za Kenya zimepresent excellent, yaani mlaji anaelewa na ana enjoy. It's all about nambers sio maneno maneno. Graphs zenye mwonekano mzuri, tabulated nambers, yaani very very nice.

Hapa kwetu sasaaaa uuiwiiiii, utasikia NIKIRIPOTI KUTOKA BUNGENI DODOMA MIMI NI GODFREY MONYO WA ITV kamaliza. Habari inayofuata ni semina ya uhamasishaji kunywa maziwa eti nayo ni habari inarushwa prime time.

Wakenya hongera sana.
UTV haina mpinzani EA.
 
UTV haina mpinzani EA.
20230412_210639.jpg
 
Media za Kenya kwenye technology ya urushaji matangazo wako vizuri wametuacha mbali sana. Jamaa wako vizuri, presenters wako vizuri, na wanajua wanachorusha hewani.

Kwa mfano jana ilikuwa siku ya uwasilishaji wa Bajeti ya nchi Bungeni, media za Kenya zimepresent excellent, yaani mlaji anaelewa na ana enjoy. It's all about nambers sio maneno maneno. Graphs zenye mwonekano mzuri, tabulated nambers, yaani very very nice.

Hapa kwetu sasaaaa uuiwiiiii, utasikia NIKIRIPOTI KUTOKA BUNGENI DODOMA MIMI NI GODFREY MONYO WA ITV kamaliza. Habari inayofuata ni semina ya uhamasishaji kunywa maziwa eti nayo ni habari inarushwa prime time.

Wakenya hongera sana.
Hata BBC na Dochi Vere wako Kenya kwanza
 
Citizens tv

Jambo radio hasa patanisho

Getto radio

Na kuna hii ya Kehancha Radio tohanchane

Give them their [emoji259] [emoji253] [emoji257][emoji122][emoji122]
 
Presentation zao tamu sana hasa za english..halafu check wanavochambua mle studio na kwenye screen na wako balance sana..yaani ukiangalia tv za Bongo ni kama sijui wanatangaza kutoka vijiji gani..wapewe maua yao hasa citizen TV naikubali sana
 
Media za Kenya kwenye technology ya urushaji matangazo wako vizuri wametuacha mbali sana. Jamaa wako vizuri, presenters wako vizuri, na wanajua wanachorusha hewani.

Kwa mfano jana ilikuwa siku ya uwasilishaji wa Bajeti ya nchi Bungeni, media za Kenya zimepresent excellent, yaani mlaji anaelewa na ana enjoy. It's all about nambers sio maneno maneno. Graphs zenye mwonekano mzuri,
tabulated nambers, yaani very very nice.

Hapa kwetu sasaaaa uuiwiiiii, utasikia NIKIRIPOTI KUTOKA BUNGENI DODOMA MIMI NI GODFREY MONYO WA ITV kamaliza. Habari inayofuata ni semina ya uhamasishaji kunywa maziwa eti nayo ni habari inarushwa prime time.

Wakenya hongera sana.

Naunga mkono hoja 100%
 
Presentation zao tamu sana hasa za english..halafu check wanavochambua mle studio na kwenye screen na wako balance sana..yaani ukiangalia tv za Bongo ni kama sijui wanatangaza kutoka vijiji gani..wapewe maua yao hasa citizen TV naikubali sana
Nini siri ya mafanikio yao?
 
Back
Top Bottom