Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 214
kwani we unaoa kwa kumsomesha au kwa kuwa unampenda?Pili anakubali uoane nae ili umpeleke class au kwa kuwa anakupenda? kwa 7bu zozote nje na upendo, kwa vovote vile hiyo ndoa ingevunjika tu.Mi naamini kwa mwanamke mwenye mapenzi ya dhati na wewe ukifanya kitendo cha busara hivo ndo atakupenda milele.Nimesikia kuwa ikiwa ulioa mwanamke na ukamkuta tuseme ni mdada tu wa nyumbani hana kazi na elimu yake ni yawaida ikatokea baada ya kuwa kwenye mahusiano au ndoa ukaamua kuendeleza kielimu pengine hata kumwezesha kupata kazi eti wazee wanasema kuna uwezekano mkubwa wa demu huyo kuachana na wewe kwavile pengine mlipoazna mahusiano aliona kutokana na levo yake wewe ndio unayemstahili sasa akipanda chata atataka kuwa na wa levo ya juu zaidi kwahiyo uwezekano wa yeye kutoka nje ya ndoa unakuwa mkubwa zaidi au hata kuachana maana sasa anakuona kama vile uko matawi ya chini na yeye yuko matawi ya juu. pia kuna usemi kuwa mwanamke ataona kuwa kwavile wewe umeamua kumwendeleza kielimu ni sawa na unamdhgarau na unamwona kama sio msomi au humpendi tena mbaya zaidi ni wanasema ni wakati wa kumtongoza demu au wakati wa uchumba ukamwahidi vitu kama kusomeswa na mengineyo kama hayo eti anaweza kukubali au kuingia kwenye ndoa kwavile tu anajua atasomeshwa na mambo mengine kama hayo. je kuna ukweli wowote katika hili na kama ni kweli je nini kafanyike?
Nimesikia kuwa ikiwa ulioa mwanamke na ukamkuta tuseme ni mdada tu wa nyumbani hana kazi na elimu yake ni yawaida ikatokea baada ya kuwa kwenye mahusiano au ndoa ukaamua kuendeleza kielimu pengine hata kumwezesha kupata kazi eti wazee wanasema kuna uwezekano mkubwa wa demu huyo kuachana na wewe kwavile pengine mlipoazna mahusiano aliona kutokana na levo yake wewe ndio unayemstahili sasa akipanda chata atataka kuwa na wa levo ya juu zaidi kwahiyo uwezekano wa yeye kutoka nje ya ndoa unakuwa mkubwa zaidi au hata kuachana maana sasa anakuona kama vile uko matawi ya chini na yeye yuko matawi ya juu. pia kuna usemi kuwa mwanamke ataona kuwa kwavile wewe umeamua kumwendeleza kielimu ni sawa na unamdhgarau na unamwona kama sio msomi au humpendi tena mbaya zaidi ni wanasema ni wakati wa kumtongoza demu au wakati wa uchumba ukamwahidi vitu kama kusomeswa na mengineyo kama hayo eti anaweza kukubali au kuingia kwenye ndoa kwavile tu anajua atasomeshwa na mambo mengine kama hayo. je kuna ukweli wowote katika hili na kama ni kweli je nini kafanyike?
Mkuu kwanza umenichosha sana coz nimesoma bila kupumzika. Pili ulichoongea ni CRAP...Nimesikia kuwa ikiwa ulioa mwanamke na ukamkuta tuseme ni mdada tu wa nyumbani hana kazi na elimu yake ni yawaida ikatokea baada ya kuwa kwenye mahusiano au ndoa ukaamua kuendeleza kielimu pengine hata kumwezesha kupata kazi eti wazee wanasema kuna uwezekano mkubwa wa demu huyo kuachana na wewe kwavile pengine mlipoazna mahusiano aliona kutokana na levo yake wewe ndio unayemstahili sasa akipanda chata atataka kuwa na wa levo ya juu zaidi kwahiyo uwezekano wa yeye kutoka nje ya ndoa unakuwa mkubwa zaidi au hata kuachana maana sasa anakuona kama vile uko matawi ya chini na yeye yuko matawi ya juu. pia kuna usemi kuwa mwanamke ataona kuwa kwavile wewe umeamua kumwendeleza kielimu ni sawa na unamdhgarau na unamwona kama sio msomi au humpendi tena mbaya zaidi ni wanasema ni wakati wa kumtongoza demu au wakati wa uchumba ukamwahidi vitu kama kusomeswa na mengineyo kama hayo eti anaweza kukubali au kuingia kwenye ndoa kwavile tu anajua atasomeshwa na mambo mengine kama hayo. je kuna ukweli wowote katika hili na kama ni kweli je nini kafanyike?
LoL.. charger kashapewa a.k.a...ndio nasomesha sasa wananitisha kuwa ntajaachika mkuu wa kurambaramba
Mungu kazi anayo,hata yasiyomuhusu anahusiswa!Ni kweli uwezekano ni mkubwa zaidi...... Muhimu omba MUNGU usiachwe baada ya kumsomesha...
Nimesikia kuwa ikiwa ulioa mwanamke na ukamkuta tuseme ni mdada tu wa nyumbani hana kazi na elimu yake ni yawaida ikatokea baada ya kuwa kwenye mahusiano au ndoa ukaamua kuendeleza kielimu pengine hata kumwezesha kupata kazi eti wazee wanasema kuna uwezekano mkubwa wa demu huyo kuachana na wewe kwavile pengine mlipoazna mahusiano aliona kutokana na levo yake wewe ndio unayemstahili sasa akipanda chata atataka kuwa na wa levo ya juu zaidi kwahiyo uwezekano wa yeye kutoka nje ya ndoa unakuwa mkubwa zaidi au hata kuachana maana sasa anakuona kama vile uko matawi ya chini na yeye yuko matawi ya juu. pia kuna usemi kuwa mwanamke ataona kuwa kwavile wewe umeamua kumwendeleza kielimu ni sawa na unamdhgarau na unamwona kama sio msomi au humpendi tena mbaya zaidi ni wanasema ni wakati wa kumtongoza demu au wakati wa uchumba ukamwahidi vitu kama kusomeswa na mengineyo kama hayo eti anaweza kukubali au kuingia kwenye ndoa kwavile tu anajua atasomeshwa na mambo mengine kama hayo. je kuna ukweli wowote katika hili na kama ni kweli je nini kafanyike?
wengi wanaachwa, sitakaa nijaribu hiyo kitu.sasa ukiweke data kuonyesha kwa asilimia unafikiri inaangukia wapi zaidi kuacha au kuendelea kuwa pamoja baada ya kusomesha?
wengi wanaachwa, sitakaa nijaribu hiyo kitu.
kweli mkuuJaribu kuwa risk taker
Kuna tofauti kati ya mpenzi na mke. Usilogwe kuingia kichwa kichwa kusomesha girlfriend ninakuhakikishia lazima atakuacha chance ni kubwa kwani vyuoni vishawishi ni vingi na yawezekana ajakomaa kiakili na akikomaa akiwa college anagundua wewe si choice.
Kuhusu mke nakushauri umsomeshe haraka sana. Kaka yangu alioa girlfriend wake wa miaka mingi mdada anatoka familia bora iila aliishia form four tu. Siyo siri ndugu zake japo hatukumwambia tulikuwa disappointed knowing that life is real hard ukioa mama wa nyumbani itokee unaaga dunia nani atalea watoto? Lakini to our suprise kaka soon baada ya kumuoa huyo dada kampeleka college kuchukua diploma, na sasa ana degree na ana kazi nzuri na pesa labda zaidi ya kaka na ni mwanamke mvumilivu sana maana kaka kidogo hajatulia.
Mimi kama mwanamke sidhani kama kuna mwanamke anaweza kumkimbia mumewe eti kisa amemsomesha. Sisi wanawake tunaweka familia mbele hata maswala ya kuwa ma mahusiano huku mumeo anakusomesha ni very rare; na ukiona mdada wa tabia hiyo jua hata usingemsomesha angetembea na wauza bucha tu. Kwa hiyo kaka na wengine wasomesheni wake zenu ni kama bima kwa familia.