Ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko Yanga kuwa bingwa

Kama na ninyi mnauza acha watu wanunue....hata machangudoa wanauza na walitakiwa watoe bure.na watu wanaamua kununua....😂😂😂😂

 
E. Ili Simba awe bingwa anatakiwa kushinda mechi 11 kati ya 16 alizobakiwa nazo*
 
We bwege halafu utakuwa mwanamke hujui mpira. Kombe la afrika mnalichukuaje? Hivi wewe una akili kweli hata kidogo? Unatia kinyaa....
Mkuu unamtukana mama yako,dada zako ,shangazi zako nk wa ajili ya Huyo Bwege,nyie mabwege Sana!
 
Mkuu unamtukana mama yako,dada zako ,shangazi zako nk wa ajili ya Huyo Bwege,nyie mabwege Sana!
Utafiti umefanyika na kuthibitishwa kuwa mashabiki wa Simba wengi ni jobless au wsendesha Bodaboda na Maguta sokoni. Ndiyo maana kelele nyingi mitandaoni.
 
Hapo C piga hesabu vizuri. Maana kuna match wanakutana wao kwa wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kulala ili utimize ndoto yako!

Ile penalty nayo mmekosa kwa sababu kuna timu iliinunua.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndio huna akili, Yanga hatuna shida na hilo kombe, tumeshalichukua sana, kombe tunalotaka ni la afrika, hilo kombe tumechukua mara 27.
Akili za vyura hizi. Unachukuaje la afrika wakati njia ya kulichukua kombe kubwa la afrika ni kuchukua la ligi? Au unadhani simba itaendelea kuwabeba?
 
Utafiti umefanyika na kuthibitishwa kuwa mashabiki wa Simba wengi ni jobless au wsendesha Bodaboda na Maguta sokoni. Ndiyo maana kelele nyingi mitandaoni.
Bila Shaka huo utafiti kafanya Humphrey Polepole na Dk Bashiru
 
yanga hawana hela ya KUHONGA...itakuwaje bingwa kwa hali hii?
 
Ubingwa Simba SC mapema tu, kama gari la magazeti..![emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…