Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Binafsi mimi ni mwana CHADEMA ila nilichojifunza tunachofanya wana CDM ni kama ushabiki wa Yanga na Simba.
Kwenye Siasa kuna kitu kinaitwa propaganda, tufikirishe ubongo kuna muda inayoonekana Nyeusi sio kila wakati ni Nyeusi inaweza kuwa Nyeupe.
Ni bora UVCCM wanaelewa ila wanashupava vichwa huku ukweli wameujua.
Kwenye Siasa kuna kitu kinaitwa propaganda, tufikirishe ubongo kuna muda inayoonekana Nyeusi sio kila wakati ni Nyeusi inaweza kuwa Nyeupe.
Ni bora UVCCM wanaelewa ila wanashupava vichwa huku ukweli wameujua.