Uchaguzi 2020 Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya

Uchaguzi 2020 Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya.

1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi
2. Kuondoa mafisadi
3.Kuondoa wala rushwa
4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi
5. Kuondoa wafanya biashara za magendo
6. Kuondoa wenye vyeti feki
7. Kuondoa wala mishahara hewa
8. Kuondoa majizi ya bandarini na TRA
9. Kuondoa wakwepa kodi kwa mgongo wa serikali na kutoa rushwa
11. Kuondoa wafanya biashara wa bangi na dawa za kulevya na kukomesha hayo yote
13. Kuondoa wenye maadili mabovu kazini na wafanya kazi kwa mazoea
14. Kuondoa Waliozoea vya bwelele badala ya kupiga kazi.

Ndugu zangu tuacheni utani hasa kwa mambo muhimu. Magufuli anaitosha Tanzania.
 
Kushindwa kuongeza Mishahara Miaka 5 licha ya kukusanya Kodi kuliko Serikali zote. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya.

1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi
2. Kuondoa mafisadi
3.Kuondoa wala rushwa
4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi
5. Kuondoa wafanya biashara za magendo
6. Kuondoa wenye vyeti feki
7. Kuondoa wala mishahara hewa
8. Kuondoa majizi ya bandarini na TRA
9. Kuondoa wakwepa kodi kwa mgongo wa serikali na kutoa rushwa
11. Kuondoa wafanya biashara wa bangi na dawa za kulevya na kukomesha hayo yote
13. Kuondoa wenye maadili mabovu kazini na wafanya kazi kwa mazoea
14. Kuondoa Waliozoea vya bwelele badala ya kupiga kazi.

Ndugu zangu tuacheni utani hasa kwa mambo muhimu. Magufuli anaitosha Tanzania.
Kupaisha bei ya korosho, ufuta na mbaazi mkoa wa Mtwara/ Lindi vipi? Tunaumia jamani
 
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya.

1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi
2. Kuondoa mafisadi
3.Kuondoa wala rushwa
4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi
5. Kuondoa wafanya biashara za magendo
6. Kuondoa wenye vyeti feki
7. Kuondoa wala mishahara hewa
8. Kuondoa majizi ya bandarini na TRA
9. Kuondoa wakwepa kodi kwa mgongo wa serikali na kutoa rushwa
11. Kuondoa wafanya biashara wa bangi na dawa za kulevya na kukomesha hayo yote
13. Kuondoa wenye maadili mabovu kazini na wafanya kazi kwa mazoea
14. Kuondoa Waliozoea vya bwelele badala ya kupiga kazi.

Ndugu zangu tuacheni utani hasa kwa mambo muhimu. Magufuli anaitosha Tanzania.
HAKUNA KIPINDI CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA KAMA KIPINDI HIKI. KILA MAHALA LISU ANAPOPITA HAKUNA KINACHOENDELEA KUHUSU YEYE WOTE NDOTO ZAO NI MAGUFULI. HATA ULAYA NA AMERICA WANAJUA MWAMBA WA AFRICA NI MAGUFULI.
 
Sasa hizo taasisi hazina wajibu wakusimamia majukumu yao zinasubiri Raisi ndiyo aje awajibike basi huo mfumo hautufai wa kiranja mmoja.
 
HAKUNA KIPINDI CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA KAMA KIPINDI HIKI. KILA MAHALA LISU ANAPOPITA HAKUNA KINACHOENDELEA KUHUSU YEYE WOTE NDOTO ZAO NI MAGUFULI. HATA ULAYA NA AMERICA WANAJUA MWAMBA WA AFRICA NI MAGUFULI.

Ulaya ipi?
 
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya.

1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi
2. Kuondoa mafisadi
3.Kuondoa wala rushwa
4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi
5. Kuondoa wafanya biashara za magendo
6. Kuondoa wenye vyeti feki
7. Kuondoa wala mishahara hewa
8. Kuondoa majizi ya bandarini na TRA
9. Kuondoa wakwepa kodi kwa mgongo wa serikali na kutoa rushwa
11. Kuondoa wafanya biashara wa bangi na dawa za kulevya na kukomesha hayo yote
13. Kuondoa wenye maadili mabovu kazini na wafanya kazi kwa mazoea
14. Kuondoa Waliozoea vya bwelele badala ya kupiga kazi.

Ndugu zangu tuacheni utani hasa kwa mambo muhimu. Magufuli anaitosha Tanzania.

Hawa wote wana jambo lao 28/10
 
Deni letu la nje limekuwa kwa kiasi kikubwa sana. Huku tunaambiwa tunakusanya mapato makubwa na tumeshakuwa donor country.

Kule kuna wafanyabiashara wame supply vitu serikali wanadai pesa zao miaka zaidi ya 5 sasa.

Hii kweli ni nchi ya vi-wonder!
 
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya.

1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi
2. Kuondoa mafisadi
3.Kuondoa wala rushwa
4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi
5. Kuondoa wafanya biashara za magendo
6. Kuondoa wenye vyeti feki
7. Kuondoa wala mishahara hewa
8. Kuondoa majizi ya bandarini na TRA
9. Kuondoa wakwepa kodi kwa mgongo wa serikali na kutoa rushwa
11. Kuondoa wafanya biashara wa bangi na dawa za kulevya na kukomesha hayo yote
13. Kuondoa wenye maadili mabovu kazini na wafanya kazi kwa mazoea
14. Kuondoa Waliozoea vya bwelele badala ya kupiga kazi.

Ndugu zangu tuacheni utani hasa kwa mambo muhimu. Magufuli anaitosha Tanzania.
Mwacheni mzee wa watu akapumzike kwa amani si alishawaambia kazi ni ngumu?
 
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya.

1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi
2. Kuondoa mafisadi
3.Kuondoa wala rushwa
4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi
5. Kuondoa wafanya biashara za magendo
6. Kuondoa wenye vyeti feki
7. Kuondoa wala mishahara hewa
8. Kuondoa majizi ya bandarini na TRA
9. Kuondoa wakwepa kodi kwa mgongo wa serikali na kutoa rushwa
11. Kuondoa wafanya biashara wa bangi na dawa za kulevya na kukomesha hayo yote
13. Kuondoa wenye maadili mabovu kazini na wafanya kazi kwa mazoea
14. Kuondoa Waliozoea vya bwelele badala ya kupiga kazi.

Ndugu zangu tuacheni utani hasa kwa mambo muhimu. Magufuli anaitosha Tanzania.
Anachoweza Magufuli ni kupiga watu risasi, kuua, kuwabambikia makesi na kuteka tu
 
Utake usitake Magufuli ni wetu sote,

Dada kaa kwa kutulia, unasikia?
093ffc51-1138-4d86-8f8d-698a84dcf16b.jpg
 
Jiwe ndio fisadi papa kwa sasa zile trilion 1.5 ziko wapi?!!!
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya.

1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi
2. Kuondoa mafisadi
3.Kuondoa wala rushwa
4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi
5. Kuondoa wafanya biashara za magendo
6. Kuondoa wenye vyeti feki
7. Kuondoa wala mishahara hewa
8. Kuondoa majizi ya bandarini na TRA
9. Kuondoa wakwepa kodi kwa mgongo wa serikali na kutoa rushwa
11. Kuondoa wafanya biashara wa bangi na dawa za kulevya na kukomesha hayo yote
13. Kuondoa wenye maadili mabovu kazini na wafanya kazi kwa mazoea
14. Kuondoa Waliozoea vya bwelele badala ya kupiga kazi.

Ndugu zangu tuacheni utani hasa kwa mambo muhimu. Magufuli anaitosha Tanzania.s
 
Ni rais pekee wa tz ambaye anaamini kati ya watanzania 55m yeye pekee ndiye bora na anaweza kuongoza tanzania lakini haelewi kwanini kati ya watz 55m hakuna wachezaji bora 11 tu wa kuifunga nchi ndogo kama burundi.

Hapa huhitaji PHD au uchawi kuelewa hesabu za ration na logic tu!
Urais 1:55 m
Mpira 11:55 m
 
Back
Top Bottom