Ni Rais Joe Biden au Donald Trump kumnyong'onyeza mwenzake kwenye mdahalo wa kwanza kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Marekani Novemba 2024?

Ni Rais Joe Biden au Donald Trump kumnyong'onyeza mwenzake kwenye mdahalo wa kwanza kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Marekani Novemba 2024?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Alhamisi ijayo June,27 dunia itashuhudia miamba ya siasa za Marekani ikifanya mdahalo wa kwanza wa wazi kuelekea Uchaguzi mkuu mwezi November mwaka huu 2024.

Wakati Rais Joe Biden, mwenye umri wa miaka 81, akikita kambi yake ya siri ya maandalizi ya kujifua na mdahalo huo muhimu huko Camp David, rais mstaafu Donald Trump mwenye umri wa miaka 78, alionekana jumamosi hii akiendelea na kampeni zake huko Philadelphia.

Masuala ya umri, utimamu wa fikra na kumbukumbu na utimamu wa mwili na akili vinatarajiwa kuteka sehemu ya mdahalo huo muhimu sana unaosubiriwa kwa hamu na gamu hasa na undecided and unengaged voters wa Marekani...

Kwa maoni yako nani kati yao atamnyong'onyeza mwenzake mapema kwenye mdahalo huu wa kwanza? Na kwanini?

Kuna cha kujifunza kama wa Africa hususani Tanzania?🐒
 
Nikinukuu kile nilichosema mahali fulani humu: the next presidential debate is between a presidential candidate whose son is a convicted felon and a presidential candidate who is a convicted felon himself.
 
Nikinukuu kile nilichosema mahali fulani humu: the next presidential debate is between a presidential candidate whose son is a convicted felon and a presidential candidate who is a convicted felon himself.
Kwahiyo baba ya muhalifu na muhalifu mwenyewe wanachuana kutafuta kiti ya urais, right?

Nani ako na nafasi kubwa kufanya vizuri, licha ya hizo dosari na kasoro za kimaadili kwenye uongozi hasa wa Taifa kubwa kama marikani?
 
aise acha mchezo gentleman,
kule camp David hakwenda kucheza ni rehearsal ya nguvu eti 🐒

ameenda kujifua hasa akijua anakuja kukutana na mtu wa aina gani 🐒
 
Alhamisi ijayo June,27 dunia itashuhudia miamba ya siasa za Marekani ikifanya mdahalo wa kwanza wa wazi kuelekea Uchaguzi mkuu mwezi November mwaka huu 2024.

wakati rais Joe Biden, mwenye umri wa miaka 81, akikita kambi yake ya siri ya maandalizi ya kujifua na mdahalo huo muhimu huko Camp David, rais mstaafu Donald Trump mwenye umri wa miaka 78, alionekana jumamosi hii akiendelea na kampeni zake huko Philadelphia..

masuala ya umri, utimamu wa fikra na kumbukumbu na utimamu wa mwili na akili vinatarajiwa kuteka sehemu ya mdahalo huo muhimu sana unaosubiriwa kwa hamu na gamu hasa na undecided and unengaged voters wa Marekani...

kwa maoni yako,
nani kati yao atamnyong'onyeza mwenzake mapema kwenye mdahalo huu wa kwanza? na kwanini ..

kuna cha kujifunza kama wa Africa hususani Tanzania?🐒
Joe Biden atakufa soon.
Na Rais atakayebeba nafasi yake mtashangaa, kwa mara ya kwanza , Marekani inaweza tawaliwa na mwanamke.
 
kwahiyo baba ya muhalifu na muhalifu mwenyewe wanachuana kutafuta kiti ya urais, right?

nani ako na nafasi kubwa kufanya vizuri, licha ya hizo dosari na kasoro za kimaadili kwenye uongozi hasa wa Taifa kubwa kama marikani?
Sekunde moja baada ya mdahalo kuisha ndiyo itakayoamua aliyefanya vizuri.

Isitoshe, hiyo ni kazi ya wapiga kura hasa wale wasio na vyama (independents) kuamua upande wa kuchagua baada ya mdahalo. Wale wapiga kura kutoka kwenye vyama au makundi kama MAGA huwa hawabadili misimamo yao kirahisi kwa sababu tu ya matokeo ya mdahalo.
 
aise acha mchezo gentleman,
kule camp David hakwenda kucheza ni rehearsal ya nguvu eti 🐒

ameenda kujifua hasa akijua anakuja kukutana na mtu wa aina gani 🐒
Utajifua wakati kumbukumbu zishagoma, yaani msela mzee trump atamchanganya sana
 
Alhamisi ijayo June,27 dunia itashuhudia miamba ya siasa za Marekani ikifanya mdahalo wa kwanza wa wazi kuelekea Uchaguzi mkuu mwezi November mwaka huu 2024.

wakati rais Joe Biden, mwenye umri wa miaka 81, akikita kambi yake ya siri ya maandalizi ya kujifua na mdahalo huo muhimu huko Camp David, rais mstaafu Donald Trump mwenye umri wa miaka 78, alionekana jumamosi hii akiendelea na kampeni zake huko Philadelphia..

masuala ya umri, utimamu wa fikra na kumbukumbu na utimamu wa mwili na akili vinatarajiwa kuteka sehemu ya mdahalo huo muhimu sana unaosubiriwa kwa hamu na gamu hasa na undecided and unengaged voters wa Marekani...

kwa maoni yako,
nani kati yao atamnyong'onyeza mwenzake mapema kwenye mdahalo huu wa kwanza? na kwanini ..

kuna cha kujifunza kama wa Africa hususani Tanzania?🐒

KUMNYONGO"NYEZA! Tafsiri ya kutoka kihaya kwenda kiswahili ni KUMNYONG'ONYEZA, tofauti ni NGO" na NG'O.​

 
Alhamisi ijayo June,27 dunia itashuhudia miamba ya siasa za Marekani ikifanya mdahalo wa kwanza wa wazi

WEWE utashuhudia. Sio dunia itashuhudia.

Hapa Mbarali stendi hatuna vocha, wala hatujui mdahalo ni lini na saa ngapi, wala hatuna simu za kisasa, wala nia, wala muda wa kufuatilia siasa za midahalo ya Marekani. Nobody gives a damn!

Hatuelewi, hatujui wanabishania nini, na hatutaki kujua. Hayatuhusu.
 
Hata kabla ya kuona nani na nani watakaochuana hapo stejini Filadefia, tayari sie tuliosomea Qba tushajua kwamba atakayeibuka mshindi ni Putin. Labda Marekani aamue kuitibua Korona tena kama ilee 2020.
 
Ngoja nikung'ute vumbi passport yangu ya USA nirudi nyumbani kumtoa Biden madarakani
 
Mdahalo wa kwanza au wa pili huu?
wa kwanza kuelekea Uchaguzi wa November mwaka huu.

Biden akisaka muhula wa pili, na trump akijizatiti kurejea mamlakani vile vile kumalizia ngwe ya pili baada ya kulambishwa sakafu akitetea kiti chicho cha urais Uchaguzi ulopita 🐒
 
Back
Top Bottom