Ni recruitment portal ipi unayoikubali na kuiamini?

Ni recruitment portal ipi unayoikubali na kuiamini?

music mimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
485
Reaction score
876
Watu wengi najua wanafahamu zaidi recruitment portal ya serikali yani ajira portal. Lakini zipo portal nyingi tu ajira za watu tofauti tofauti.

Mimi binafsi nawakubali cvpeople walishanipa interview tatu tofauti na moja ikawa nimepata ajira. Zamani nilikuwa nawaelewa empower pia ila baadae wakaanza kuwa complicated bila sababu za msingi.

Wewe unaikubali job portal ipi?
 
Labda mm.unielekez hao cv people na empower wakoje
Maana mm.nilijiunga huko ila nothing until now

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujiunga tu haitoshi, unapaswa kuweka details zako zote vizuri. Na uwe unarudi ku-update. Uwa wanaweka kazi ukiona unaaplly ni rahisi tu au wenyewe wakiona kazi inakufaa kutokana na details zako wanakupigia simu. Mimi kazi yangu wao walinipigia simu bila kuomba nikaenda kwa mwajiri kufanya interview.
 
Mkuu asante sana ntazitumia zote izo portal nilikuwa sizijui..
 
Binafsi kipindi nimegraduate bado nina moto wa kutafuta ajira, nilijiunga kote huko, CV people, empower, zoom, brighter monday, na mengine mengi nimeyasahau, niliapply kazi mara nyingi sana bila kupata. Mwisho nilikata tamaa nikaacha
 
Binafsi kipindi nimegraduate bado nina moto wa kutafuta ajira, nilijiunga kote huko, CV people, empower, zoom, brighter monday, na mengine mengi nimeyasahau, niliapply kazi mara nyingi sana bila kupata. Mwisho nilikata tamaa nikaacha
Pole ,km mm vile, saiv Nina kibanda changu Cha mpesa,nshaisahau hata kuapply ,ngoja nkomae Nako haka haka tutatoboa tu.ajira za bahat sana siku hiz,acha watoto wa vigogo wakalie waendelee kuchezea viti vya kuzunguka,
 
Wacheck Hr world na Empower
Kazi yangu ya mwisho kuajiriwa private sector niliipata kupitia hr world.
 
Me sielewi niliomba Mara mbili ajira portal nikapata
 
Kujiunga tu haitoshi, unapaswa kuweka details zako zote vizuri. Na uwe unarudi ku-update. Uwa wanaweka kazi ukiona unaaplly ni rahisi tu au wenyewe wakiona kazi inakufaa kutokana na details zako wanakupigia simu. Mimi kazi yangu wao walinipigia simu bila kuomba nikaenda kwa mwajiri kufanya interview.
Sasaiv.com
 
Kwangu Mimi portal zote mnazo taja Niko but sehemu ambao Niko comfortable seeking for jobs sio portal Bali ni application ya LinkedIn. Their is a lot of information their
 
Kujiunga tu haitoshi, unapaswa kuweka details zako zote vizuri. Na uwe unarudi ku-update. Uwa wanaweka kazi ukiona unaaplly ni rahisi tu au wenyewe wakiona kazi inakufaa kutokana na details zako wanakupigia simu. Mimi kazi yangu wao walinipigia simu bila kuomba nikaenda kwa mwajiri kufanya interview.
Binafsi huwa najiona kma si mtu wa kufikwa na fursa online kwa kuwa kada yangu au masomo yangu ni community development na ukiangalia sana huko ni companies na taasisi za marketing, accounting, logistics, HRs ndizo zipo huko..

Kwa mm mtu wa social worker inakuwa ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi kipindi nimegraduate bado nina moto wa kutafuta ajira, nilijiunga kote huko, CV people, empower, zoom, brighter monday, na mengine mengi nimeyasahau, niliapply kazi mara nyingi sana bila kupata. Mwisho nilikata tamaa nikaacha
Ndiyo kinaend kunikuta hiki au na aina ya course zinachangia uharaka wa kupata kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi huwa najiona kma si mtu wa kufikwa na fursa online kwa kuwa kada yangu au masomo yangu ni community development na ukiangalia sana huko ni companies na taasisi za marketing, accounting, logistics, HRs ndizo zipo huko..

Kwa mm mtu wa social worker inakuwa ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi za community development mbona zipo... community relations officer, community engagement officer, behaviour change coordinator etc
 
Back
Top Bottom