Hamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni
nahisi mmekutana washindani wawili....
...nadhani hata wewe una ushindani wa kichini chini sioni sababu mtu ajitambie mali alizonazo halafu wewe usononeke??!..mnh:A S 13::A S 13:
...atakuwa muhaya tu huyo mzoee hivyo hivyo..
Mueleze kwamba hupendi hiyo tabia, Hujatwambia jinsia yako, ila wanaume wengi huwa wanastukia msichana akiwa na maendeleo hufikiri labda kahongwa au ana tabia mbaya hata kama umejitutumua mwenyewe mpaka umejenga, ila kama ww ni mwanaume labda ulitamka kwa kujigamba si unajua zile wale mabishoo wanavyojifagilia? mambo mengiii ooo nina account uswizi, when i was kibaaaaaao, huwa inakera sasa labda tuambie uli ipresent vipi hii issue yako kwa mwenzako, wewe me ao ke
Binafsi naogopa sana mapenzi yanaypjengwa kwenye msingi wa vitu vinavyoonekana zaidi kwa macho!! Siku vikiisha ina maana na mapenzi yamekwisha?? Halafu hapo tayari naona kuna roho ya CHANGU!!! Hiki changu, gari langu, nyumba yangu.......changu. Hii lugha naona ni mbaya sana kwenye mahusiano yawe ya muda mfupi na mbaya kabisa yale ya muda mrefu.
Kwa hiyo mi nashauri mpime mioyoni yenu, mapenzi yenu yamejengwa katika msingi gani?? Upendo wa kwli....!!! Fedha na mali......, uzuri na umaarufu......au na nini???? Baada ya kulijua hilo fanya uamuzi sahihi.
Binafsi naogopa sana mapenzi yanaypjengwa kwenye msingi wa vitu vinavyoonekana zaidi kwa macho!! Siku vikiisha ina maana na mapenzi yamekwisha?? Halafu hapo tayari naona kuna roho ya CHANGU!!! Hiki changu, gari langu, nyumba yangu.......changu. Hii lugha naona ni mbaya sana kwenye mahusiano yawe ya muda mfupi na mbaya kabisa yale ya muda mrefu.
Kwa hiyo mi nashauri mpime mioyoni yenu, mapenzi yenu yamejengwa katika msingi gani?? Upendo wa kwli....!!! Fedha na mali......, uzuri na umaarufu......au na nini???? Baada ya kulijua hilo fanya uamuzi sahihi.
Wewe roselyne weweee!nahisi mmekutana washindani wawili....
...nadhani hata wewe una ushindani wa kichini chini sioni sababu mtu ajitambie mali alizonazo halafu wewe usononeke??!..mnh:A S 13::A S 13:
...atakuwa muhaya tu huyo mzoee hivyo hivyo..
Hamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni