hapo ni kusepa tuHamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni
Hamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni
nahisi mmekutana washindani wawili....
...nadhani hata wewe una ushindani wa kichini chini sioni sababu mtu ajitambie mali alizonazo halafu wewe usononeke??!..mnh:A S 13::A S 13:
...atakuwa muhaya tu huyo mzoee hivyo hivyo..
Hamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni
nahisi mmekutana washindani wawili....
...nadhani hata wewe una ushindani wa kichini chini sioni sababu mtu ajitambie mali alizonazo halafu wewe usononeke??!..mnh:A S 13::A S 13:
...atakuwa muhaya tu huyo mzoee hivyo hivyo..
Mbona ana mambo ya ajabu mie nikajua baada ya kumwambia hivyo kwa vile umeonyesha juhudi atakusupport na kukutia moyo wa kuendelea kufanya makubwa zaidi,watu wengine bana ,Hizo coaster ,sijui nyumba ya 70m ni zake naona kama bado ana ka ushamba fulani
Hamjambo wanajamvi wote pole na mgao. Mwenzen kuna tatizo lanikwaza na kunikondesha kwa kweli. Niko kwenye mahusiano huu mwezi wa nne. Katika maongez na huyo mwenzangu akaniambia mambo yake mbalimbali ya maendeleo na mimi nikamwambia nna kakibanda kangu japo cjakamalizia basi imekuwa nongwa anaiponda mbaya, mara wadogo zangu wanafanya Masters, mara nataka kununua coaster, mara nyumba yangu ni m70. In short ka amani kamepotea kimtindo, nna vijimiradi anaviponda pia .sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?hanijali tena kama zamani. Msaada wa mawazo ndgu zanguni. Asanteni