Ni sababu gani inatufanya wanaume tushindwe kujizuia kuangalia makalio ya wanawake?

Dah yan wee acha tu, ni mateso kweli kweli, hasa kuna haka kamtindo wamekaanza skuizi, yani mtu katupia dera afu utaona anapita mbele yko huku kalivuta kwambele lile dera, basi pale inasababisha kitu kule nyuma kinawambika kisawasawa. Sasa pale huwa nahisi kama ubongo umevibrate kdogo, yan akili inasimama kwa muda! Huu ugonjwa watutaftie dawa aseeeee au hata chanjo inatosha.
 
Mi nahisi macho hayana pazia pengi ndo mana unashindwa kujizuia.
Ila tukubali tu kuna "sumaku" fulani inavuta macho kwenye makalio. Inakuaje kama ni macho hayana pazia wanaume na watoto hatuna mpango nao wakipita?
Alafu macho yakishaona sio mwanamke, yaani anayepita ni mwanaume au mtoto wala akili haisumbuki kuendelea kumuangalia.
 
Ila tukubali tu kuna "sumaku" fulani inavita macho kwenye makalio. Inakuaje kama ni macho hayana pazia wanaume na watoto hatuna mpango nao wakipita?
Mmmmmmmhhh ngoja nilipeleke swali lako maabara kwanza
 
Macho yetu ni chuma, misambwanda ni sumaku hivyo hutuvuta
 
Mods ondoeni hiyo picha bana mnatukwaza na Ramadhani hii...
Mkuu mbn umenikoti na kilichoandikwa na unachokisema hakuhusiani?labda kama unatania.

Ila kama uko siriaz nenda pm waambie hao mods waufute uzi ila uwe na sababu kamili.

Majaribu hayana budi kuja lkni Mungu anakuepusha nayo.kama umefunga lakini.kumbuka,huwezi zuia majaribu kwa mikono bali kwa kusali.karibu
 
Kwenye version mpya ya JF ya kwenye simu kuna picha imewekwa ya makalio ya mwanamke kavaa chupi imebeba uzi wako.
 
Sauzi ni hatareee zaidi ya hatareeeeee! Mpk shingo nikilala usiku inauma! Sijui Mandela aliwalisha nini hawa wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…